Kuoa au kuolewa na mzungu ni sifa!

Kuoa au kuolewa na mzungu ni sifa!

DJ SEPETU

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
8,413
Reaction score
12,336
Miaka ya ukoloni 1950s kuja 1980s wazee wetu waliopata scholarship za kusoma nje Mara baada ya masomo walirudi na wake Wa kizungu mfano babake Obama, prof Sarungi na wengineo!

Hata wasanii kama Lemmy ongara pia walio wazungu!

Pia kasumba hii imeenea pia kwa wanawake wengi ambao kuwa na mahusiano na mzungu ni kama proudness flani! Bila ya kujali ni kababu au makamu! Nchi kama za Kenya na Nigeria and whole of Africa ina trend sana!
Mifano ni mingi hata ya waigizaji wengi huona fahari Ku date na foreigners.

Mitaani pia hasa uswahilini mtu akiwa na hata hawa machotara Wa kiasia hujiona tofauti.

Hii tabia ya waafrika kutothamini vya kwetu tunaitoa wapi
 
Miaka ya ukoloni 1950s kuja 1980s wazee wetu waliopata scholarship za kusoma nje Mara baada ya masomo walirudi na wake Wa kizungu mfano babake Obama, prof Sarungi na wengineo!

Hata wasanii kama Lemmy ongara pia walio wazungu!

Pia kasumba hii imeenea pia kwa wanawake wengi ambao kuwa na mahusiano na mzungu ni kama proudness flani! Bila ya kujali ni kababu au makamu! Nchi kama za Kenya na Nigeria and whole of Africa ina trend sana!
Mifano ni mingi hata ya waigizaji wengi huona fahari Ku date na foreigners.

Mitaani pia hasa uswahilini mtu akiwa na hata hawa machotara Wa kiasia hujiona tofauti.

Hii tabia ya waafrika kutothamini vya kwetu tunaitoa wapi
Mika ya 79 - 85 niliwalamba vizee vya kizungu vitano kwa nyakati tofauti vikiwa na umri Kati ya Mika 32 - 55, sikuona mwenye "sugi" wala "rikong'o" ndefu vitu ambavyo ndiyo vinanipa mzuka!!!!
 
Mika ya 79 - 85 niliwalamba vizee vya kizungu vitano kwa nyakati tofauti vikiwa na umri Kati ya Mika 32 - 55, sikuona mwenye "sugi" wala "rikong'o" ndefu vitu ambavyo ndiyo vinanipa mzuka!!!!
We ni me
 
Back
Top Bottom