Matusi yakusaidii mpagani! Najua utakuwa una kasumba hiyo ya kupenda vya njeKama tatizoni materials, mbona hata Wafrikakwa Waafrika wanaoana kwa mapenziya materials?
Na kamawamekubalianamapenzi ya materials, tatizo lako nini?
Ulitaka kuolewa wewe?
Sinaga hulka ya kuchuna wanaume tsh.100 yangu inanitosha!Huoni kuwa ungekuwa pedeshee Wa like mjini hapa!
Hata kumchuna kwa mda no!
Unaniambia matusi hayanisaidii wakati wewe unanitukana mimi mpagani.Matusi yakusaidii mpagani! Najua utakuwa una kasumba hiyo ya kupenda vya nje
Udhaifu wako niliouona hapa ni kuwa hukubali kushindwa!Unaniambia matusi hayanisaidii wakati wewe unanitukana mimi mpagani.
Halafu unaonesha usivyo na elimu unapomuita mtu asiyeamini Mungu wa aina yeyote mpagani, wakatimpagani ni mtu anayeamini Mungu/Miungu/Mizimu.
Wewe unayeamini kuwepo kwa Mungu uko karibu na mpaganikuliko mimi.
Na kwa kweli, kwa wale wanaoamini miungu tofauti nawe, wengi wanakuona wewe ndiye mpagani wao.
Soma kidogo upanue mawazo. Uelewe upagani nikitugani na jinsi watu waliostaarabika wa dunia ya leo wanavyoona neno hilohalifaikutumika.
Unawakashifu wazungu, na kutetea Uafrika, kwa kumuita mtu mwingine mpagani.
Wakatihujuikwamba wazungu ndio waliotumia neno hilo kukashifu dini na mila za Waafrika.
Hujui unaenda au unarudi!
Acha ushamba na umbeya.
Industrial age ni nini na ilikuwa mwaka gani mpaka mwaka gani?Udhaifu wako niliouona hapa ni kuwa hukubali kushindwa!
Anyway sitaki kuingiza hoja ya Dini hapa! ninauliza ni hivi kasumba ya kuoa ama kuolewa na mzungu kwanini inachukuliwa kuwa ni ufahari na si mapenzi tu!
Nimetoa mifano ya wasomi wengi Wa industrial age waliorudi toka masomoni na wake Wa kizungu na Ku reject African values!
Rejea "songs of lawino and akoli"
HahahahaKuna huyo limbukeni anaitwa harmonize....
Mshamba wa kimakonde huu uzi no wake 100%
Fact!Sio kila mzungu akuzidi akili we mweusi huu ndo utumwa!
Kumbe mtupu hivi kihistoria hujui industrial age wala hutambui kuwa tupo informative age!Industrial age ni nini na ilikuwa mwaka gani mpaka mwaka gani?
Watu wameoa wanavyotaka, wewe kinachokuwasha nini?
Ulitaka kuolewa wewe?