Kuoa bikra: kwa hili naungana na Natafuta Ajira

Kuoa bikra: kwa hili naungana na Natafuta Ajira

mimiamadiwenani

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
5,718
Reaction score
7,784
Wa kutumia pesa zako ukitoa mama, ni mke wako. Msininukuu vibaya, namaanisha mke uliyemtoa usichana ukaiona damu yake. Mwisho wa nukuu.

Naungana na ndugu zangu Natafuta Ajira pamoja na R Heriel. Mke ambaye hukumkuta bikra, si wako na hatokuwa wako.

Faida nimeona nyingi sana, ingawa hasara zipo chache. Hata akichepuka mimi nitabaki kuwa her real hero. Na tukumbuke tu kuwa 'awali ni awali', hakuna awali mbaya.

Nilifikia haya baada ya ku adopt njia ifuatayo several years ago:

Judging a woman harshly based on her past. Mimi hata kwa 'demu' tu wa kupoteza naye muda huwa na trace past yake, what about my wife😁?
Je, alitumika sana? Ok siyo shida, alitumika nyuma au mbele pekee?
Alikuwa mtu wa companies na hang outs?
Marafiki zake ni wa aina gani? And so many things.

Yaani mtu at 20+ achezewe huko halafu at 28+ nije nimuoe mimi? Nile makombo? Hell no!

Binafsi naona na nashauri wadogo zetu ambao hawajaoa, wajitahidi waoe vigori. 'Awali ni awali' na hakuna'ga' awali mbaya.
Natafuta Ajira
Robert Heriel Mtibeli

Mimi najivunia sana ninyi kuwa Watanzania. Naamini bado vijana wenye akili mpo.
 
Wa kutumia pesa zako ukitoa mama, ni mke wako. Msininukuu vibaya, namaanisha mke uliyemtoa usichana ukaiona damu yake. Mwisho wa nukuu.

Naungana na ndugu zangu Natafuta Ajira pamoja na R Heriel. Mke ambaye hukumkuta bikra, si wako na hatokuwa wako.

Faida nimeona nyingi sana, ingawa hasara zipo chache. Hata akichepuka mimi nitabaki kuwa her real hero. Na tukumbuke tu kuwa 'awali ni awali', hakuna awali mbaya.

Nilifikia haya baada ya ku adopt njia ifuatayo several years ago:

Judging a woman harshly based on her past. Mimi hata kwa 'demu' tu wa kupoteza naye muda huwa na trace past yake, what about my wife😁?
Je, alitumika sana? Ok siyo shida, alitumika nyuma au mbele pekee?
Alikuwa mtu wa companies na hang outs?
Marafiki zake ni wa aina gani? And so many things.

Yaani mtu at 20+ achezewe huko halafu at 28+ nije nimuoe mimi? Nile makombo? Hell no!

Binafsi naona na nashauri wadogo zetu ambao hawajaoa, wajitahidi waoe vigori. 'Awali ni awali' na hakuna'ga' awali mbaya.
Natafuta Ajira
Robert Heriel Mtibeli

Mimi najivunia sana ninyi kuwa Watanzania. Naamini bado vijana wenye akili mpo.

min -me ameiweka sawa kabisa.
Bikra kwa kijana Msafi(ambaye hajawahi)
Single father kwa single Mother
Single kwa single.

NASHUKURU SANA Mkuu
 
Aliyeanzisha hii mada hajapevuka akili, na nina uhakika hana uzoefu wowote na wanawake na huu ulimwengu. Eti unatafuta bikra ulimwengu huu!?,bikra zilizobaki Duniani zote zina sura za wajomba na zenyewe za kubahatisha, mkitembea barabarani unamtanguliza mbele. Anyway, kila la heri na wenye akili kama zako.
 
Aliyeanzisha hii mada hajapevuka akili, na nina uhakika hana uzoefu wowote na wanawake na huu ulimwengu. Eti unatafuta bikra ulimwengu huu!?,bikra zilizobaki Duniani zote zina sura za wajomba na zenyewe za kubahatisha, mkitembea barabarani unamtanguliza mbele. Anyway, kila la heri na wenye akili kama zako.
Hahahah hapana bhana! Mbona wapo tuuu
 
Aliyeanzisha hii mada hajapevuka akili, na nina uhakika hana uzoefu wowote na wanawake na huu ulimwengu. Eti unatafuta bikra ulimwengu huu!?,bikra zilizobaki Duniani zote zina sura za wajomba na zenyewe za kubahatisha, mkitembea barabarani unamtanguliza mbele. Anyway, kila la heri na wenye akili kama zako.
Wewe ndio MPUMBAVU, ambaye unaoa mwanamke kwa kuangalia sura
 
min -me ameiweka sawa kabisa.
Bikra kwa kijana Msafi(ambaye hajawahi)
Single father kwa single Mother
Single kwa single.

NASHUKURU SANA Mkuu
Nilitaka kushangaa toka lini watibeli wakasema mwanaume katumika mpk kipara kimeota visunzua alafu eti apewe bikira??
Limtu lishatafuna mpk mashoga eti lioe bikira?! Kweli?!
 
Aliyeanzisha hii mada hajapevuka akili, na nina uhakika hana uzoefu wowote na wanawake na huu ulimwengu. Eti unatafuta bikra ulimwengu huu!?,bikra zilizobaki Duniani zote zina sura za wajomba na zenyewe za kubahatisha, mkitembea barabarani unamtanguliza mbele. Anyway, kila la heri na wenye akili kama zako.
Hayo ndo matatizo ya vijana wa siku hizi yaani badala muoe wanawake wenye uhitaji wa dhati kujenga familia , nyingi mnaenda kuoa malaya kisa wanajua kujichubua na kuvaa makope na manyere ya bandia alafu mkisha pigwa matukio mnakuja kutulilia humu kwa kuwananga wanawake.
 
Wa kutumia pesa zako ukitoa mama, ni mke wako. Msininukuu vibaya, namaanisha mke uliyemtoa usichana ukaiona damu yake. Mwisho wa nukuu.

Naungana na ndugu zangu Natafuta Ajira pamoja na R Heriel. Mke ambaye hukumkuta bikra, si wako na hatokuwa wako.

Faida nimeona nyingi sana, ingawa hasara zipo chache. Hata akichepuka mimi nitabaki kuwa her real hero. Na tukumbuke tu kuwa 'awali ni awali', hakuna awali mbaya.

Nilifikia haya baada ya ku adopt njia ifuatayo several years ago:

Judging a woman harshly based on her past. Mimi hata kwa 'demu' tu wa kupoteza naye muda huwa na trace past yake, what about my wife😁?
Je, alitumika sana? Ok siyo shida, alitumika nyuma au mbele pekee?
Alikuwa mtu wa companies na hang outs?
Marafiki zake ni wa aina gani? And so many things.

Yaani mtu at 20+ achezewe huko halafu at 28+ nije nimuoe mimi? Nile makombo? Hell no!

Binafsi naona na nashauri wadogo zetu ambao hawajaoa, wajitahidi waoe vigori. 'Awali ni awali' na hakuna'ga' awali mbaya.
Natafuta Ajira
Robert Heriel Mtibeli

Mimi najivunia sana ninyi kuwa Watanzania. Naamini bado vijana wenye akili mpo.
Mashudu kabisa, ukikua utaacha kuandika pumba
 
Hayo ndo matatizo ya vijana wa siku hizi yaani badala muoe wanawake wenye uhitaji wa dhati kujenga familia , nyingi mnaenda kuoa malaya kisa wanajua kujichubua na kuvaa makope na manyere ya bandia alafu mkisha pigwa matukio mnakuja kutulilia humu kwa kuwananga wanawake.
Nani kakwambia ana mpango wa kuoa!?,hapa tunachangia mada tu mkuu. Wanawake wenyewe wa kuoa kipindi hiki cha feminism wako wapi!??
 
Back
Top Bottom