ndugu zangu, bila kumtanguliza mungu kila kitu kinaweza kuwa kigumu, mimi na mume wangu tulikutana kwa mara ya kwanza siku ya honeymoon, na hakuna tatizo lolote baya. Tulimuomba mungu na mungu alitusaidia na ndoa yetu inaendelea vizuri na tuna watoto wawili sasa, na mungu ndio tumaini letu siku zote. Mambo haya ya kujaribujaribu lazima utakuta kosa tu kwa sababu wewe si unatafuta makosa? Lazima uyaone na hiyo ni kazi ya shetani lengo lake usimpendeze mungu, nawasihi muaminini mungu muweza wa yoote atawasidia tu kama alivyotusaidia na sisi