Rose kila mtu unambania jicho bibie? Halafu ubanaji wako jicho unaendana na mdomo yalaaaaaaaaaaa.....
apana si kila mtu NI WEWE PEKE YAKO NDO NAKUBANIA JICHO...just u n only nobody else anayeona mkonyezo wangu!!!!!
Kwani imekuwa pombe ya kienyeji hiyo???
mmmh haya bana:noidea:
Acha kufananisha nguo na mwanamke, nguo unabaili kila siku na mara nyingine mara mbili au tatu kwa siku,angalia kwa mwaka unavaa nguo ngapi? unanunua nguo ngapi, kama kwako nguo ni sawa na mwanamke una hatari na hakika unahitaji msaada wa MunguUtanunuaje nguo bila kujaribu?. Hata madukani kuna changing room ambako unatumia kujaribisha nguo kabla ya kununua. Unaweza kumwona mtoto bomba ile mbaya kumbe mashine mbovu kinoma na inatoa harufu kama panya aliyeoza. Hata gari unafanya test drive kabla hujanunua.
hasara,
test b4.
amenmbona hata wanaotest shost ni kilio? trust in the Lord your God
Acha kufananisha nguo na mwanamke, nguo unabaili kila siku na mara nyingine mara mbili au tatu kwa siku,angalia kwa mwaka unavaa nguo ngapi? unanunua nguo ngapi, kama kwako nguo ni sawa na mwanamke una hatari na hakika unahitaji msaada wa Mungu
Nguo ina thamani kubwa sana kwangu kuliko mwanamke.
chakuonja ni pombe tu?
haha haha
apana its just u n only....kwan asi unaniona peke ako apo au kuna mwngne?
Kimbweka jaman vp maziwa ya simblis umeniletea?
lazima u test mazee, bila test ukiingia nayo ndani ya ndoa utashaa. Ndo mara sio wewe mara nilikosea. Kula kitu kwanza then ukinogewa unaweka ndani
ndugu zangu, bila kumtanguliza mungu kila kitu kinaweza kuwa kigumu, mimi na mume wangu tulikutana kwa mara ya kwanza siku ya honeymoon, na hakuna tatizo lolote baya. Tulimuomba mungu na mungu alitusaidia na ndoa yetu inaendelea vizuri na tuna watoto wawili sasa, na mungu ndio tumaini letu siku zote. Mambo haya ya kujaribujaribu lazima utakuta kosa tu kwa sababu wewe si unatafuta makosa? Lazima uyaone na hiyo ni kazi ya shetani lengo lake usimpendeze mungu, nawasihi muaminini mungu muweza wa yoote atawasidia tu kama alivyotusaidia na sisi
utanunuaje nguo bila kujaribu?. Hata madukani kuna changing room ambako unatumia kujaribisha nguo kabla ya kununua. Unaweza kumwona mtoto bomba ile mbaya kumbe mashine mbovu kinoma na inatoa harufu kama panya aliyeoza. Hata gari unafanya test drive kabla hujanunua.