ukweli kuoa ni kiashiria cha umiliki na kuolewa umilikiwa na mzizi wa yote ni kutokana na jamii zinazofuata mahari ambapo inachukuliwa kwamba mwanamke ni bidhaa, hivyo basi sahihi ukipenda kutumia mzizi wa hayo maneno ni kuoana.but sahihi zaidi ni kuufunga ndoa...............hii inakwenda sanjari na maeno mume au mke wangu............yote yanaashira ya ukatili wa kijinsia