Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Katika maisha kosea vyote ila usikosee kuoa , ukikosea kidogo mtu sahihi wa kumuoa basi umejiangamiza wewe mwenyewe, uzao wako na mali zako.
Katika wanawake wanaopaswa kuepukwa kwa haraka sana basi ni mwanamke mwenye chembe chembe za u feminist , aisee mwanamke wa dizaini usijishauri mara mbili mbili chapa lapa fasta.
Ukishaoa mwanamke feminist kama madhara hayatokuwa kwako basi yataanza kuonekana kwa vizazi vyako.
Mtoto wa kike aliyelelewa na mama yake ambaye ni feminist , tegemea huyu mtoto kwanza kuja kuwavunjia heshima muda wowote saa yoyote kama mtaenda kinyume na matakwa yake .
Mtoto wa kike aliyelelewa na mwanamke feminist, tegemea ndoa yake kuwa na misukosuko isiyokwisha, tegemea huyu mtoto kuwa msagaji, tegemea huyu mtoto kutojua majukumu yake yeye kama mwanamke ikiwemo kupika ,heshima kwa mumewe na wakweze.
Tarajia huyu mtoto kuzalishwa hovyo tu bila kuolewa na yeyote.
Asilimia kubwa ya wanawake wanaoua wanaume wao ni wale mafenist au wamelelewa na mama ambaye ni Feminist.
Watoto wa kiume waliolelewa na mama ambaye ni feminist ,hawa hawaujui mfumo dume kabisa, tarajia huyu mtoto mbeleni kuwa shoga , laini laini, kutokuwa na misimamo ya kiume, kupelekeshwa na mke wake na yeye kuchukulia jambo la kawaida mpaka pale maji yatakapomfila shingoni, hatoweza kuwa baba bora, hatoweza kufanya majukumu yake kama baba, ndiye dizaini ya baba ambaye hajiwezi kwa kila kitu, hata kufunga kitanda mpaka amuite fundi.
Epukeni wanawake ma feminist mtaepuka mengi sana kwenye maisha yenu.
Katika wanawake wanaopaswa kuepukwa kwa haraka sana basi ni mwanamke mwenye chembe chembe za u feminist , aisee mwanamke wa dizaini usijishauri mara mbili mbili chapa lapa fasta.
Ukishaoa mwanamke feminist kama madhara hayatokuwa kwako basi yataanza kuonekana kwa vizazi vyako.
Mtoto wa kike aliyelelewa na mama yake ambaye ni feminist , tegemea huyu mtoto kwanza kuja kuwavunjia heshima muda wowote saa yoyote kama mtaenda kinyume na matakwa yake .
Mtoto wa kike aliyelelewa na mwanamke feminist, tegemea ndoa yake kuwa na misukosuko isiyokwisha, tegemea huyu mtoto kuwa msagaji, tegemea huyu mtoto kutojua majukumu yake yeye kama mwanamke ikiwemo kupika ,heshima kwa mumewe na wakweze.
Tarajia huyu mtoto kuzalishwa hovyo tu bila kuolewa na yeyote.
Asilimia kubwa ya wanawake wanaoua wanaume wao ni wale mafenist au wamelelewa na mama ambaye ni Feminist.
Watoto wa kiume waliolelewa na mama ambaye ni feminist ,hawa hawaujui mfumo dume kabisa, tarajia huyu mtoto mbeleni kuwa shoga , laini laini, kutokuwa na misimamo ya kiume, kupelekeshwa na mke wake na yeye kuchukulia jambo la kawaida mpaka pale maji yatakapomfila shingoni, hatoweza kuwa baba bora, hatoweza kufanya majukumu yake kama baba, ndiye dizaini ya baba ambaye hajiwezi kwa kila kitu, hata kufunga kitanda mpaka amuite fundi.
Epukeni wanawake ma feminist mtaepuka mengi sana kwenye maisha yenu.