Kuoa mwanamke Feminist ni kukaribisha uzao wa watoto wasio na maadili

Wabinafsi sana ,roho mbaya, tamaa.
 
Hakuna mwanaume mjinga anaweza kuzingatia unachokiandika mwanamke kwenye mada kama hizi.

This matter is for men and we listen from man's point of view.
 
Haijanisaidia! Nmepekua kutaka kujua maana ya feminist nmekosa.
 
Ana chuki binafsi huyu, atakuja kufa kwa stress sababu ya kusimanga wanawake
 
huyo anajiongelesha tu...angenipata angefurahi...dada wa kufua anakuja kama kawa na mpaka boxer anafua....msosi najipikia mama fua anakuja kuosha vyombo vyangu....
 
Lakini anachopambania mdada wa watu ni ukweli mtu mifumo na mila kandamizi zimewakaa sana watu hasa wanaume wanaona wanaingiliwa nafsi zao na wanawake wanaona ni sawa kutendewa..cha ajabu hata wanawake waotetewa hawako upande wake..kipengele hiki cha Jinsi na jinsia (usawa wa kijinsia) hado hakijaeleweka vyedi katika jamii.usawa anaoupambania ni katika nyanja za kiuchumi.kisiasa na kijamii na si kibaolojia kama watu wengine wanavyowaaminisha watu ..bado tunaishi tunaishi humo humo kwenye mila kandamizi ili usionekane mkaidi ktk jamii
 
huyo anajiongelesha tu...angenipata angefurahi...dada wa kufua anakuja kama kawa na mpaka boxer anafua....msosi najipikia mama fua anakuja kuosha vyombo vyangu....
As long as mumewe anamuelewa na wanaamani wanaelewana mtu mwingine hatakiwi kukerekwa na life style yao. Ila ww ukifanya hayo no body will understand you
 
Aloo umepaniki sana broo povu lote la nn akati ww unamaisha yako yeye anayake mm ninayakwangu,pamoja na mfano wa Mongela bado umekaza fuvu..
Waeleze wale waliokaza mafuvu wasitumie mihemko warudi darsani waje na fact kuhusu ufeminist..sio kila wakiona hilo neno wanakuwa na kapicha kao ka kishetani ka kupingana na mwanaume
 
Hakuna mwanaume mjinga anaweza kuzingatia unachokiandika mwanamke kwenye mada kama hizi.

This matter is for men and we listen from man's point of view.
Mwamba kama mwamba tuko pamoja yaani eti mwanaume aache nafasi yake asimame kwenye matakwa ya mafeminist na mashoga? How come?
 
Aloo umepaniki sana broo povu lote la nn akati ww unamaisha yako yeye anayake mm ninayakwangu,pamoja na mfano wa Mongela bado umekaza fuvu..
Ujinga mtupu ndio umekujaa kwenye Hilo vichwa lako, umekuja na comment yako ya mihemko ambayo Haina kichwa Wala miguu, na Mimi nikakupa mfano Ina maana leo hii baba yako mzazi akikosoa mwenendo wa maisha yako utamuona kwamba ana chuki na wewe??

Nyie vijana ambao mmemezwa na mfumo jike mna matatizo sana ya kifikra, yaani mmekuwa hamna tofauti na vibinti ambayo ndio viko kwenye adolescence, mko na mihemko tu muda wote...

Kuhusu mfano wako wa Mongela najua vizuri sana kuliko hata wewe unavyofahamu...

Bibi Getruda Mongela ni feminist wa makaratasini tu lakini kwa aina ya malezi aliyopotia huko kwa Ukerewe kamwe hawezi kuwa na zile hardcore feministic elements kama walizonazo feminists wa kisasa. na pia tu nikujuze ufeminia wa miaka ya 1990s ni tofauti kabisa na ufeminia wa leo hii 2024, miaka hiyo ndio kulikuwa na ufeminia wa kweli ambao ulililenga kumuinua mwanamke kiuchumi,kielimu,kisiasa n.k na wanaume wengi sana walisapoti... Ni tofauti kabisa na leo hii ambapo ufeminia imekuwa ni mfumo wa kumdidimiza kabisa mwanaume na kufanya mwanamke awe juu ya mwanaume..

Wewe akili yako ndogo najua huwezi kuliona hili.
 
Umeropokwa mengi ongeza povu ongeza ongeza ...aisee familia yako inahasara kuishi na gubu kama hii inahtaj moyo pyeeee
Sa we mpuuzi huoni ulichoandika ndicho ulichorudia kuandika hapo au umebadili matumizi ya ubongo kufikiriki umekalia na mavi yamehamia kichwani
Nilichozungumzia ndo maazimio ya wafeminia ni yaleyale aliyohudhuria huyo mama na umeandika hapo..sibishani na nazi mbovu kumbaf
 
ASANTE.
 
Chaiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…