Kuoa mwanamke mzuri ni sawa na kulima shamba la miwa shuleni

Kuoa mwanamke mzuri ni sawa na kulima shamba la miwa shuleni

thetruthtobetold

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2018
Posts
509
Reaction score
560
Haya ndo matatizo:

- Wanajijua ni wazuri, full kiburi.
- Wakiwa wa Mama wa Nyumbani ni wavivu ku keep up na urembo.
- Wakiwa wafanya kazi lazim wamegwe, hakuna namna.
- Ukiona kafanya kazi miaka 2 bila kunung'unika ujue bocy anammega, hawaze vumiliwa.
- Uzuri sio fahari yako, ni ya wote mpaka wapita njia.

Ndio ukweli
 
Haya ndo matatizo:

- Wanajijua ni wazuri, full kiburi.
- Wakiwa wa Mama wa Nyumbani ni wavivu ku keep up na urembo.
- Wakiwa wafanya kazi lazim wamegwe, hakuna namna.
- Ukiona kafanya kazi miaka 2 bila kunung'unika ujue bocy anammega, hawaze vumiliwa.
- Uzuri sio fahari yako, ni ya wote mpaka wapita njia.

Ndio ukweli
Hahahah ni bora awe ni wa nyumbani, maana akiajiriwa ndo kabisaa! Wanakula mno
 
Ok sawa kaoe mbaya wenye tako ndio utaona balaa lingine.
 
Haya ndo matatizo:

- Wanajijua ni wazuri, full kiburi.
- Wakiwa wa Mama wa Nyumbani ni wavivu ku keep up na urembo.
- Wakiwa wafanya kazi lazim wamegwe, hakuna namna.
- Ukiona kafanya kazi miaka 2 bila kunung'unika ujue bocy anammega, hawaze vumiliwa.
- Uzuri sio fahari yako, ni ya wote mpaka wapita njia.

Ndio ukweli
Mr Truth wanawake warembo tatizo si lao, bali wanaume wanawaperekea kuwa onja onja!! Wanaombwa sana kiasi wanashindwa kukwepa mitego inayowekwa na wanaume wenye uchu nao!! Ikiwemo hongo (rushwa) na misifa ambayo nyinyi sasa hamuwapi!!

Kwa kweli wanawake warembo wana mtihani mgumu ktk swala la uaminifu
 
Tatzo ni kwamba hakuna mbaya, Ukisema ni mbaya Kuna wanaokula tu bila kuangalia sura
 
Back
Top Bottom