Uko very real, kuna warembo huwa wanajikausha kumbe wanakufa na genye 😃😃😒nimelala tu,so hot...very hot...mbayaa😕
Kwa kweli hua limekuchemsha leo haswaaa si bure 😂😂😂nimetoka shamba kupanda mahindi mie,nakimbizana na mvua
Amepata kigugumizi😂achana nae huyo anakwepakwepa
Kabisa, kuna warembo huwezi kuwasikia wakisemaAisee💊
Alafu wabahili tu hivi kwani mtu akifunga safari kwenda kumuona manzi anakuajeHawana jipya,wote wapo Dar...umbali siyo yaan😕