Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lizzy ina maana wewe haunionei mimi huruma
GOD created TF and LizzyWewe tena na uhandsome wote huo???:A S 13:Labda wewe ndo unionee mimi!!
GOD created TF and Lizzy
It's never about huruma . Ukishakaa na mtu ukamzoea mkashirikiana (pengine) kuvunja ile amri ya sita then MKIONA sijui kuoa au kuolewa maana yake ni nini.....it simply means kila mmoja kaamua kuchukua udhaifu wa mwenzake na kucherish strengths zake. Marriage is not about perfection and neither exact match, it's about 2 people tena kila mmoja kuamua kwa dhati kuwa kioo cha mwenzake katika yale yaliyo mapungufu aliyo nayo partner wake. We don't marry kwa sababu tumewapata very descent or call exact match and sio kwa kuoneana huruma bali tunaoa kwa sababu ni muhimu (kama si lazima) kuoa.
Natumai mko alright,
Jamani hebu tujadiliane, mdada anakubali kuolewa na mkaka au mkaka anakubali kumuoa mdada shauri ya huruma. Hebu niambieni hatma ya maisha haya. Nisaidieni....
Huruma?? What is Huruma? Ni nani anayeona huruma? Mwanamke au Mwanaume? Naolewa na wewe kwa sababu nakuonea huruma, daaa mi sielewi definition ya huruma inayopeleka nikubali kuolewa kwa sababu hiyo. Hivi kama mwanaume ukimwangalia anatia huruma? Naishi je naye?? Hayuko strong au? Yani why huruma may be??
Natumai mko alright,
Jamani hebu tujadiliane, mdada anakubali kuolewa na mkaka au mkaka anakubali kumuoa mdada shauri ya huruma. Hebu niambieni hatma ya maisha haya. Nisaidieni....
ananipenda sana, halafu sitaki kumuumiza moyo wake nifanyaje?
Nimuonee huruma nimuoe tu au nichape lapa. Huko ninapoenda nitapendwa kama ninavyopendwa? Mimi nampenda kiasi tu.
Nafikiri huruma inahitajika. Lol!
Hapana Husninyo ni muda tu haujafika, mungu wetu ni mwema sana kila mtu kamwekea mtu wake ukiona hujakutana nae wa kukudundisha mapigo ya moyo ujue wakati haujafika. na ukifika huo wakati hauta regret hata akikufanyia nini hapo utakuwa radhi kuvumilia. imagine huyo uliyemuonea huruma ukaoana nae akikuudhi maudhi yale makubwa, hautajiuliza mara mbili kuachana nae cause humfeel kumoyo
da! Maneno yako yananiingia sana.
Sasa, hakuna kuonea mutoto ya mutu huruma eeeh?
aise hapo umenena sana sijui nikupmNi bora kumuumiza mapema before hamjaingia nadani ya ndoa.
Ndoa ni kitu kingine, kwann uteseke ndani ya ndoa? I hp usipomwonea huruma atakukumbuka kwa hilo roho mbaya lako later.
ferds upo?kwa mawazo haya ndio maana ndoa hazina raha, maana unaoa au kuolewa kwa mtindo huu, hata upigwe uumizwe uchitiweeeee utang'ang'ania si umeamua kubeba mapungufu ya mwenzio?