Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Haya wapenzi wa shangilia ushinde
nimerudi tena leo hii wacha tujiweke sawa na mambo yetu..wapo wengi wanapenda kuoga baada ya kufanya mapenzi lakini kuna mada moja imeongelewa sana tangu asbh ikanifanya niingie vitabuni nkakutana na wapenzi wanaosema ni vizuri kuoga kabla ya mapenzi wakimaanisha
1)UNAWEZA KUTA MTU AMETOKA KUFANYA MAPENZI AKAJA KWAKO
2)AMETOKA KUTEMBEA UMBALI MREFU UKAKTANA NA MAJASHO NA UVUNDO FULANA HI NI KWAWALE WAPENZO WA CHUMVINI
3)INASAIDIA HATA MWANAMKE MKIOGA KUANGALIA JE HII NTAWEZA KUHIIMILI AMA LAH NA HIVYO KUMRAHISISHIA KUGAIRI AKIWA BAFUNI KAMA AJAWA WA KWANZA KUTOKA NA NYINGINE NYINGI
HAYA NDUGU ZANGUNI WENGINE WANASEMA VYEMA TUKAOGA BAADA YA GAME NA MKIWA JAMVINI NUWA AMA DAWASCO WAKAKATA UTAENDA KUTAFUTA UHAI???
NIWARUDISHENI KWENU STUDION
nimerudi tena leo hii wacha tujiweke sawa na mambo yetu..wapo wengi wanapenda kuoga baada ya kufanya mapenzi lakini kuna mada moja imeongelewa sana tangu asbh ikanifanya niingie vitabuni nkakutana na wapenzi wanaosema ni vizuri kuoga kabla ya mapenzi wakimaanisha
1)UNAWEZA KUTA MTU AMETOKA KUFANYA MAPENZI AKAJA KWAKO
2)AMETOKA KUTEMBEA UMBALI MREFU UKAKTANA NA MAJASHO NA UVUNDO FULANA HI NI KWAWALE WAPENZO WA CHUMVINI
3)INASAIDIA HATA MWANAMKE MKIOGA KUANGALIA JE HII NTAWEZA KUHIIMILI AMA LAH NA HIVYO KUMRAHISISHIA KUGAIRI AKIWA BAFUNI KAMA AJAWA WA KWANZA KUTOKA NA NYINGINE NYINGI
HAYA NDUGU ZANGUNI WENGINE WANASEMA VYEMA TUKAOGA BAADA YA GAME NA MKIWA JAMVINI NUWA AMA DAWASCO WAKAKATA UTAENDA KUTAFUTA UHAI???
NIWARUDISHENI KWENU STUDION