Kuoga

Kuoga

H-baba nae kumbe kaimba najic!! astakafillah ..."kula lazima kuoga ihari"
 
Hapo FAIDA (17), nadhani paragraph ya pili; pana maneno mwanamke akiingiziwa manii na mme wake sehemu ya utupu wake wa mbele au nyuma basi hapaswi kukoge.

Wenye dini yenu naomba ufafanuzi hapo kwenye bold.

"Mtu akimwingilia mkewe, akaingiza sehemu ndogo tu ya kichwa cha dhakari, kisha manii yake yakaingia katika utupu wa mkewe, na mkewe hakumwaga, basi haimpasi mke kuoga.
Amesema An-Nawawiy: "Anapoingiziwa mwanamke manii katika utupu wake wa mbele au wa nyuma kisha manii hayo yakamtoka, basi hapaswi kuoga. Hili ndilo sahihi lililopitishwa na jamhuri."([20])"
 
Post ndefu huwa sisomi....sijui wangapi huwa wanasoma
 
Back
Top Bottom