Kuogopa kununua Toyota Prius ni ushamba au umasikini

Kuogopa kununua Toyota Prius ni ushamba au umasikini

Najichanga nataka vuta Toyota Prius gen 3....

Toyota Prius is one of the very serious and reliable car Toyota ever made..... Prius watu wanaziogopa tu but ni gari zenye garama nafuu sana kwenye kuishi nayo..mfano oil change interval yake si kama traditional car kwakua engine yake hifanyi kazi muda wote hasa kwenye city driving, brake pads hazitumiki muda mrefu because of regenerative braking mechanism inayochukua deceleration energy (ambayo ni mechanical energy) inayokua picked up na MG 2 motor na kutengeneza umeme ambao utacharge betri so hii ina serve brakes...kuhusu mafuta kwakua engine inakua off for sometime basi inaserve fuel..kumbuka accessories zote za gari zinaendeshwa na umeme including ac compressor so no increased fuel consumption because of ac usage.

Kuhusu transmission..hii gari ipo na less moving parts kwenye gearbox..yaani ni planetary gears na mota mbili za umeme (MG 1 na MG 2 ambapo MG1 inafanya kazi kama starter, pia inacharge betri pale injini inavowaka, MG 2 ina drive matairi na pia ina charge betri during braking or deceleration-through regenerative mechanisms.(huu mfumo mzima unaitwa synergy hybrid system)

Kumbuka with regards to transmission system ya hii gari ina separate transmission fluid ambayo mara nyingi haitaji kubadilishwa under normal driving conditions ila for preventive maintenance unaweza change after km 200,000 kwakua gear mechanism ya gari ni tofauti kabisa na gari automatic za kawaida..humu hakuna clutches packs nyingi kama automatic yakawaida ni chache kwa ajili ya ku tight (kubana ) planetary gear ili kupata reverse na forward movement through planetary and sun gear mechanism.


Changamoto..

Hii gari inakuja na betri mbili..moja ni battery ya hybrid yenye kutengeneza volts 200+ kwa ajili ya ku power the entire hybrid system..na betri nyingine ni ni betri ya kawaida ambayo ni normal 12v battery ambaYo kazi yake ni ku activate components zinazofanya system ya hybrid kuanza kufanya kazi mfano relays, ECU, pamoja na ku run system zote zinazohitaji volts 12 kama taa na radio.

Sasa kama unavojua joto na baridi ni adui wakubwa wa battery life, sasa kutatua tazo hili Toyota imeweka mechanisms zinazo tatua hii kitu hasa joto..Betri inapotumika na hasa kukiwa na excessive draw of power (amperage draw) betri itachemka (mfano tu hata simu ukitumia excessively betri inachemka) sasa kama hakuna proper cooling mechanism basi betri life itashuka...but Toyota Prius kwenye kiti cha nyuma utakuta kuna matundu, hayo matundu ndani yake kuna feni ambayo inachukua hewa ndani ya cabin na kwenda kupoza betri..na huwa inakua na air-filter..sasa wenye hizi gari huwa hawajui kua wanapofanya service hii filter pia inatakiwa kufanyiwa service either ya kupulizwa vumbi au kubadili kabisa..so matokea yake inafika wakati inajaa vumbi mpaka ventilation inakosekana na kuanza kusababisha betri ku over heat..apa ndo shida ilipo..na betri ikifa inachukua mpaka hata 1.8m ku replace kama wataka replace the entire battery pack..but pia ni possible kubadili individual cell ambayo inakua imekufa na kuweka cell nyingine then unafanya power Balancing mambo yanakua poa ingawa mafundi wengi bongo hawafanyi power Balancing wakisha fanya replacement ya cells.

Changamoto nyingine kwa Toyota Prius gen 3 ni kwamba engine ya hii gari inakuja na water pump ya umeme ambayo incase ikiharibika na wewe ujataka kufatilia kama imekufa au lah basi utafanya engine i over heat na kuua head-gasket..(hili tatizo halipo kwenye prius gen 2 kwakua Prius Generation 2 yenyewe ilitengenezwa na mechanical pump ambayo inazungunshwa na fen belt kupita crankshaft...but prius gen 3 na kuendelea zote zinakuja na water pump ya umeme kwakua engine zake hazina kabisa fen belts.. but in case water pump ikiharibika immediately gari itakuwashia triangle sign kwenye dash board hivo itabidi usimame upaki sehemu utatute tatizo then maisha yaendelee or else you may blow your motor head-gasket.

Kingine ambacho kikizingua kinakua expensive kidogo japo ni kawaida ni brake system yake.kumbuka brake boosting mechanism yake si kama regular car kwakua hii gari si muda wote engine inakua on hivo si muda wote engine vacuum inakuwepo kwa ajili ya brake boosting..hivo hii gari inakua na mvumo kama we Brevis au haya ma land cruiser makubwa japo wake kidogo unautofauti (yaan booster ipo pamoja na ABS system as one unit so ikifanya replacement una change the entire unit )..yaan inakua na brake system ambayo vacuum ya brake booster inatengenezwa electric motor..so with time (japo ni very durable system and rarely kuharibika) ikitokea kuharibika kidogo inachangamsha akili kwenye ku repair na fundi pia anatakiwa awe na proper tools za kufanya kazi(hasa advanced scanner ambayo ni bi-directional kwa ajili ya ku activate commands manuals ya brake booster motor ili kutoa upepo kwenye brake system.

But all in all ni very durable, dependable na reliable kuliko gari zote ndogo za Toyota. Zingatia kupata prius yenye miliage ndogo tu be on safe side, pia hakikisha unafanya service ya filter ya hybrid battery.

View attachment 2483136
Huu uzi bila uwepo wako ulikuwa unakosa ladha. Ahsante kwa kuja.
 
Humu naona hapanifai wengi wanazungumzia wese la hybrid cars comfortability sijaona ..unaingia kwenye gari unakaa Kama kwenye kigoda

Siku ukiomba lift kwa IT wenye wanapeleka v8 nchi tofauti hata Kama Ni za 2010 utaona utofauti mkubwa Sana au hizi LC300


Kwanza me gari Kama hailii Kama Simba siitaki

Niliendesha 1VD LX nili enjoy Sana na cruiser war bus lenye 1VD exhaust kubwa ukikanyaga unapata attention
 
Ukitaja magari kumi reliable ya toyota basi toyota prius haiwezi kosa top three, ni gari ambayo ni ngumu na reliable sanaa,comfortable ina smooth ride na nzuri sana kwa misele ya mjini na foleni hili la dar japokuwa ni ya umeme nusu yaani hybrid car

Watu wengi tunaogopa kununua prius koz inakuja na hybrid battery ambao ndo inaendesha kila kitu kwenye gari kwamba ikifa itakuaje?

Lakini hiyo ilikuaa ni hofu ya miaka 20 iliyopita dunia now imeendelea hybrid battery ya prius unaweza kuipata kwa 2m hadi 2.8m na kuifunga ni dakika 30 tu

Original Hybrdi battery ya prius inayokuja na gari inaenda 280,000km hadi 321,000km mpka ubadilishe nyingine,

Sa unaogopa nini?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Utasikia prius ina umeme mwingi sanaa, fun fact toyota crown ina umme mwingi na complex kuliko prius

Toyota prius inaedeshwa na generator moja kubwa, haina alternator kama garo nyingine, umeme wake ni simple sanaa, na hyo generator kufa ni mpka gari itakapokufa

Hyo generator inaweza washa friji, taa za nyumba, kwa kutumia invertor kipindi cha maafa kama mafuriko etc

Hii ni gari nzuri sana na inaweza kwenda 25km/L, mjini koz inatumia mfumo wa regenerativw braking, yaaaani ukiachia mafuta gearbox inawekwa into reverse mode ile friction energy inayotokea pale inabadilishwa kuwa umeme unachaji battery, ndo mana prius brake pads unaweza kutumia miaka 7, mana hazitumiki

Wenzetu ulaya wanazitumia sanaa prius na ni gari maarufu sisi tumebaki na ushamba wetu, katika gari za hybrid duniani hakuna kampuni imeweza kupambana na prius kwa reliability

Watanzania tuache woga na ushamba unaweza kupata 17m za kununua prius unaogopa 2.8m za. Kununja battery ambalo ukinunja unaweza tumia 10yrs[emoji3][emoji3][emoji3] hivi nani alituroga sisi tubadilike.

View attachment 2480016View attachment 2480018View attachment 2480021
Gari yeyote ya chini sinunui hata iwe benzi new model gari za chini hovyo kabisa mwanamke kuingia kukaa kwenye usukani hadi chupi au skin tight ionekane kwa walio nje unapoingia kwenye.gari

Napenda gari zilizoinuka hiyo Primus dereva mwanamke kuingia seat lazima skin tight ionekane kama umevaa ki.mini

Gari zote zachini ambazo kuingia lazima kuchuchumaa kama unataka kujisaidia haja kubwa kuingia ndani sinunui
 
Mi napenda sana full electric

Sijaona Tesla bongo hata zile model za mwanzo

Issue hapa ni gharama au charge stations

Nmereview model 3 na self pilot features
Asee Tesla is very promising
The future is in safe hands
Mkuu ukitaka experience EV nashauri anza na za Mjapan mfano Nissan Leaf nimeona sio mbaya, au Prius za Kuchaji (Prium Prime) sio mbaya ingawa sio full EV.

Kwa ninavyojua Tesla, ukiwa nayo kwa Tanzania itakusumbua sana. Kwasababu wale jamaa gari ikiharibika hauendi Ilala kununua spea, unaweka booking unapeleka gari (kama inaweza kutembea) au unabeba unaipeleka kwenye station zao, unaacha funguo, unasepa.

Utatumiwa email ya quotation, utalipa, itafanyiwa kazi, utaambiwa ifuate au mtu ailete. Over.

Yaani sio unaenda unaanza waambia nikiwasha inatetemeka sijui nn wala nn. Wanadeal nayo wenyewe we tulia tu.

Inamaana kupata spare ni jambo gumu gumu gumu sana labda ukute mtu anauza kutoka kwenye gari imeharibika iko beyond repair.

Ila najua watakuja watu watatengeza 3rd part.

Cheki China Kuna EV zimetoka aisee nusu bei ya Tesla, mfano Polestar 2.

1000111907.jpg

Interior yake imekaa unyaki sana.
1000111906.jpg


Pia, mpinzani wa Tesla Lucid Air mcheki nae noma.
 
Gari yeyote ya chini sinunui hata iwe benzi new model gari za chini hovyo kabisa mwanamke kuingia kukaa kwenye usukani hadi chupi au skin tight ionekane kwa walio nje unapoingia kwenye.gari

Napenda gari zilizoinuka hiyo Primus dereva mwanamke kuingia seat lazima skin tight ionekane kama umevaa ki.mini

Gari zote za karibu kuchuchumaa kama unataka kujisaidia haja kubwa kuingia sinunui
Sawa Big Boss
 
Gari yeyote ya chini sinunui hata iwe benzi new model gari za chini hovyo kabisa mwanamke kuingia kukaa kwenye usukani hadi chupi au skin tight ionekane kwa walio nje unapoingia kwenye.gari

Napenda gari zilizoinuka hiyo Primus dereva mwanamke kuingia seat lazima skin tight ionekane kama umevaa ki.mini

Gari zote za karibu kuchuchumaa kama unataka kujisaidia haja kubwa kuingia sinunui
Hahaa kipenda roho inaitwa mzee. Mi nilikua na Runx watu wakawa wanasema niinyanyue, ndio kwanza nikaitia coilovers. Aisee ilikua matuta aya ya Morogoro Rd nayakata ndio navuka.

Sa nikaja kwa wajerumani ndio kabisaa, ile stock tu inakuja ipo chini, panya chini hapiti. Aisee.

Ila nikiendesha gari za juu kuna kitu uwa nakiona ni advantage, ila sio cha kunishawishi niamie uko.

Sedan for life.
 
Humu naona hapanifai wengi wanazungumzia wese la hybrid cars comfortability sijaona ..unaingia kwenye gari unakaa Kama kwenye kigoda

Siku ukiomba lift kwa IT wenye wanapeleka v8 nchi tofauti hata Kama Ni za 2010 utaona utofauti mkubwa Sana au hizi LC300


Kwanza me gari Kama hailii Kama Simba siitaki

Niliendesha 1VD LX nili enjoy Sana na cruiser war bus lenye 1VD exhaust kubwa ukikanyaga unapata attention
Sawa tajiri Mukulu 🤣 watu wanatafuta Economy kwenye Prius usiwacheke wese ni 3100 kwa Dar bei ya sasa
 
Najichanga nataka vuta Toyota Prius gen 3....

Toyota Prius is one of the very serious and reliable car Toyota ever made..... Prius watu wanaziogopa tu but ni gari zenye garama nafuu sana kwenye kuishi nayo..mfano oil change interval yake si kama traditional car kwakua engine yake hifanyi kazi muda wote hasa kwenye city driving, brake pads hazitumiki muda mrefu because of regenerative braking mechanism inayochukua deceleration energy (ambayo ni mechanical energy) inayokua picked up na MG 2 motor na kutengeneza umeme ambao utacharge betri so hii ina serve brakes...kuhusu mafuta kwakua engine inakua off for sometime basi inaserve fuel..kumbuka accessories zote za gari zinaendeshwa na umeme including ac compressor so no increased fuel consumption because of ac usage.

Kuhusu transmission..hii gari ipo na less moving parts kwenye gearbox..yaani ni planetary gears na mota mbili za umeme (MG 1 na MG 2 ambapo MG1 inafanya kazi kama starter, pia inacharge betri pale injini inavowaka, MG 2 ina drive matairi na pia ina charge betri during braking or deceleration-through regenerative mechanisms.(huu mfumo mzima unaitwa synergy hybrid system)

Kumbuka with regards to transmission system ya hii gari ina separate transmission fluid ambayo mara nyingi haitaji kubadilishwa under normal driving conditions ila for preventive maintenance unaweza change after km 200,000 kwakua gear mechanism ya gari ni tofauti kabisa na gari automatic za kawaida..humu hakuna clutches packs nyingi kama automatic yakawaida ni chache kwa ajili ya ku tight (kubana ) planetary gear ili kupata reverse na forward movement through planetary and sun gear mechanism.


Changamoto..

Hii gari inakuja na betri mbili..moja ni battery ya hybrid yenye kutengeneza volts 200+ kwa ajili ya ku power the entire hybrid system..na betri nyingine ni ni betri ya kawaida ambayo ni normal 12v battery ambaYo kazi yake ni ku activate components zinazofanya system ya hybrid kuanza kufanya kazi mfano relays, ECU, pamoja na ku run system zote zinazohitaji volts 12 kama taa na radio.

Sasa kama unavojua joto na baridi ni adui wakubwa wa battery life, sasa kutatua tazo hili Toyota imeweka mechanisms zinazo tatua hii kitu hasa joto..Betri inapotumika na hasa kukiwa na excessive draw of power (amperage draw) betri itachemka (mfano tu hata simu ukitumia excessively betri inachemka) sasa kama hakuna proper cooling mechanism basi betri life itashuka...but Toyota Prius kwenye kiti cha nyuma utakuta kuna matundu, hayo matundu ndani yake kuna feni ambayo inachukua hewa ndani ya cabin na kwenda kupoza betri..na huwa inakua na air-filter..sasa wenye hizi gari huwa hawajui kua wanapofanya service hii filter pia inatakiwa kufanyiwa service either ya kupulizwa vumbi au kubadili kabisa..so matokea yake inafika wakati inajaa vumbi mpaka ventilation inakosekana na kuanza kusababisha betri ku over heat..apa ndo shida ilipo..na betri ikifa inachukua mpaka hata 1.8m ku replace kama wataka replace the entire battery pack..but pia ni possible kubadili individual cell ambayo inakua imekufa na kuweka cell nyingine then unafanya power Balancing mambo yanakua poa ingawa mafundi wengi bongo hawafanyi power Balancing wakisha fanya replacement ya cells.

Changamoto nyingine kwa Toyota Prius gen 3 ni kwamba engine ya hii gari inakuja na water pump ya umeme ambayo incase ikiharibika na wewe ujataka kufatilia kama imekufa au lah basi utafanya engine i over heat na kuua head-gasket..(hili tatizo halipo kwenye prius gen 2 kwakua Prius Generation 2 yenyewe ilitengenezwa na mechanical pump ambayo inazungunshwa na fen belt kupita crankshaft...but prius gen 3 na kuendelea zote zinakuja na water pump ya umeme kwakua engine zake hazina kabisa fen belts.. but in case water pump ikiharibika immediately gari itakuwashia triangle sign kwenye dash board hivo itabidi usimame upaki sehemu utatute tatizo then maisha yaendelee or else you may blow your motor head-gasket.

Kingine ambacho kikizingua kinakua expensive kidogo japo ni kawaida ni brake system yake.kumbuka brake boosting mechanism yake si kama regular car kwakua hii gari si muda wote engine inakua on hivo si muda wote engine vacuum inakuwepo kwa ajili ya brake boosting..hivo hii gari inakua na mvumo kama we Brevis au haya ma land cruiser makubwa japo wake kidogo unautofauti (yaan booster ipo pamoja na ABS system as one unit so ikifanya replacement una change the entire unit )..yaan inakua na brake system ambayo vacuum ya brake booster inatengenezwa electric motor..so with time (japo ni very durable system and rarely kuharibika) ikitokea kuharibika kidogo inachangamsha akili kwenye ku repair na fundi pia anatakiwa awe na proper tools za kufanya kazi(hasa advanced scanner ambayo ni bi-directional kwa ajili ya ku activate commands manuals ya brake booster motor ili kutoa upepo kwenye brake system.

But all in all ni very durable, dependable na reliable kuliko gari zote ndogo za Toyota. Zingatia kupata prius yenye miliage ndogo tu be on safe side, pia hakikisha unafanya service ya filter ya hybrid battery.

View attachment 2483136
Mkuu nakuomba dm
 
napata 25KM/L,... Very efficient car, practical , dependable, less maintenance cost than regular cars ie oil change internal yake ni kubwa kuliko regular car, transmission fluid Yake hubadiri kama regular car, brake pads zake hubadili kama regular, ina nguvu nyingi kwakua inatumia mota kuendesha gari na mota ina instant torque ( 200+). bull
Mkuu Prius inaendeleaje?
 
Mkuu ukitaka experience EV nashauri anza na za Mjapan mfano Nissan Leaf nimeona sio mbaya, au Prius za Kuchaji (Prium Prime) sio mbaya ingawa sio full EV.

Kwa ninavyojua Tesla, ukiwa nayo kwa Tanzania itakusumbua sana. Kwasababu wale jamaa gari ikiharibika hauendi Ilala kununua spea, unaweka booking unapeleka gari (kama inaweza kutembea) au unabeba unaipeleka kwenye station zao, unaacha funguo, unasepa.

Utatumiwa email ya quotation, utalipa, itafanyiwa kazi, utaambiwa ifuate au mtu ailete. Over.

Yaani sio unaenda unaanza waambia nikiwasha inatetemeka sijui nn wala nn. Wanadeal nayo wenyewe we tulia tu.

Inamaana kupata spare ni jambo gumu gumu gumu sana labda ukute mtu anauza kutoka kwenye gari imeharibika iko beyond repair.

Ila najua watakuja watu watatengeza 3rd part.

Cheki China Kuna EV zimetoka aisee nusu bei ya Tesla, mfano Polestar 2.

View attachment 2717292
Interior yake imekaa unyaki sana.
View attachment 2717293

Pia, mpinzani wa Tesla Lucid Air mcheki nae noma.
Nissan leaf mpaka inafika mkononi inaweza gharimu kiasi gani?
 
Back
Top Bottom