Kuolewa SIO bahati...USIBAHATISHE!

Again. . . What works for you is good for you. Kwahiyo kama wewe kanuni inayomtaka/lazimu mwanamke kushughulika peke yake kwenye mahusiano ndio inayokuongoza wewe, na inakusaidia basi stick to it.Haki unayo.

Out of the point.
Dada Lizy kwa nini hutaki kutii hiyo ni amri kutoka kwa mungu. Ukipambana nayo utaumia dada. Wewe tii kwanza utaona kama mwenzi wako hatakupenda. Kichwa ngumu ndicho kinachowamaliza nyie.
 
Hii mada naona inaongelea kuolewa tuu, sasa waowaji mbona mna waingilia waolewaji kwenye mada yao na kuwavurugia? Msubiri ije ya kuowa na sisi tuichambue kama kupata mke ni bahati au sio bahati. Wanawake wanaoowa je mnasemaje, ni bahati kwa mwanaume aliyeolewa na kutunzwa au sio bahati?
 
Out of the point.
Dada Lizy kwa nini hutaki kutii hiyo ni amri kutoka kwa mungu. Ukipambana nayo utaumia dada. Wewe tii kwanza utaona kama mwenzi wako hatakupenda. Kichwa ngumu ndicho kinachowamaliza nyie.

Kutaka kwangu au kutokutaka hakuwezi kudhihirishwa na nilichoandika hapo. Binafsi siwezi mtii mtu asiyestahili utii wangu, na mtu mpaka astahili utii wangu lazima afanye kazi yake. Kwahiyo hiyo sijui mtii ndio awe hivi au vile sio yangu maana haina tofauti na wale wanaoolewa na waume wanyanyasaji/waliokosa uaminifu wakijidanganya kwamba "tukiwa kwenye ndoa ATABADILIKA". Awe mzuri kwanza ntampa utii na heshima yangu yote, ila sitomhonga utii na heshima ili awe mzuri.
 
Kuolewa sio bahati .....ila ni BARAKA!!!!.
Na baraka hii kamwe haitakuwa kwa wanawake wote...kuna waliopangiwa kukaa bila waume japo wanawatamani.Hi ni Mipango ya Mungu..kwani ameruhusu hapa Duniani wanawake kuwa wengi zaidi ya wanaume.So mwanamke ambaye hataolewa kamwe maishani mwake ...ni hajabarikiwa katika suala zima la kuolewa..
 
Unaona wewe mwenyewe umeonesha hizo tabia kwa njia hiyo hiyo ni vigumu sana kuwa na ndoa nzuri.
Yaani kumtii mtu mpaka afanye kitu. Yaan kile kitu tu cha kuitwa mme au boyfrend kinatosha sana. AKILI KUMKICHWA
 

Nakubaliana na wewe kidogo lakini la msingi ni kwamba hamna mtu "perfect" , hata the so called perfect husband atakuwa na pungufu kidogo unless kama ni GAY lol
 
Out of the point.
Dada Lizy kwa nini hutaki kutii hiyo ni amri kutoka kwa mungu. Ukipambana nayo utaumia dada. Wewe tii kwanza utaona kama mwenzi wako hatakupenda. Kichwa ngumu ndicho kinachowamaliza nyie.
Anawadanganya wenzake tu hapa wapewe talaka, yeye akiwa kwa mumewe adabu mbele na analala bila chupi!!
 
Unaona wewe mwenyewe umeonesha hizo tabia kwa njia hiyo hiyo ni vigumu sana kuwa na ndoa nzuri.
Yaani kumtii mtu mpaka afanye kitu. Yaan kile kitu tu cha kuitwa mme au boyfrend kinatosha sana. AKILI KUMKICHWA

Sasa weweee. . .
Kama unaona kuwa mzuri ndio utiiwe sio haki kwasababu unatakiwa kufanya kitu kwanza kwanini unataka utiiwe kwanza ndio uwe mzuri kwa mwenzako? Maana nayo ni ile ile, unataka YEYE afanye kitu (kukutii) ndio umwie mzuri. Awe mtiifu UWE MZURI (hiyo ni kanuni yako) ,AWE MZURI nimtii (hiyo ni yangu).

Swala la kusema mtu kuitwa boyfriend/mume tu inatosha kutiiwa sijui kuheshimiwa inaweza ikaapply kwa wengine bali sio kwangu. Kwangu hayo ni majina pekee hata sanamu inaweza ikapewa. Heshima inapatikana kwenye matendo na sio majina. Siwezi kumtii mwanaume anaelewa na kurudi kushusha mtusi na kipondo juu, anaetoka nje ya mahusiano na asiyeniheshimu. Kwa maana nyingine mimi sio limbukeni wala siko tayari kuwa kwaajili ya ntu yeyote yule. The same goes for me, sitegemei wala sitaki mwanaume anipende kama simtendei haki na akifanya hivyo ntamwona ni limbukeni. Ndio maana kuna wanaume wanaonewa sana na wake/wapenzi wao. . .kwasababu wamekubali kuwa malimbukeni.
 

Kwa kauli hizi, ndoa kwako itakuwa ngumu sana, la sivyo oa wewe.
 

Hao ndio wanaokufaa wewe.
 
Kwa kauli hizi, ndoa kwako itakuwa ngumu sana, la sivyo oa wewe.

Kwani tangu lini ndoa ikawa rahisi?
Ingekua rahisi kila anaeingia angekua anacheka na kutabasamu 24/7 kwa siku 365 na watu wasingetoka.
 
Mnisadie hili.

Je muoaji na muolewaji wamebahatishana? Ikimaanisha alieolewa kabahatika na aliyeoa kabahatika.

Na ule msemo ''kuolewa ni bahati, kupata mtoto/watoto majaliwa'' una uhalisia wowote??
 
Labda wanakufaa wewe.

Namshukuru mungu nilipata mke mtiifu na mwenye busara, nami nampenda sana. Anajua fika kuwa yeye ni Mke na anatambua kuwa mimi ni Mume. Nina furaha sana. Hii jamii ya wanawake wa leo , kadri wanavyoelimika, wanazidi changanyikiwa na kusahau maadili yao.
 
Kwani tangu lini ndoa ikawa rahisi?
Ingekua rahisi kila anaeingia angekua anacheka na kutabasamu 24/7 kwa siku 365 na watu wasingetoka.
Kama unayoandika ndio misimamo yako, duh kuolewa kwako ni bahati sana na utegemee kuachwa na mume wako au kuwa na nyumba ndogo
 
Kwani tangu lini ndoa ikawa rahisi?
Ingekua rahisi kila anaeingia angekua anacheka na kutabasamu 24/7 kwa siku 365 na watu wasingetoka.

Ni rahisi kwa wenzio watiifu. Ugumu unaokutana nao ni kwa sababu ya wewe kuwa kichwa ngumu. Ikubali jinsia yako.
 
Kweli mkuu. wamepoteza welekeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…