Kuolewa tena na mwenza uliyemtaliki

Kuolewa tena na mwenza uliyemtaliki

Gily Gru

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2016
Posts
8,632
Reaction score
23,673
Wasalaam wana JF

Unakuta mwanaume alikuwa na mke na wanaishi pamoja pika pakua. Ikatokea kuhitilafiana na wakachukua maamuzi ya kutalikiana kila mtu aende kumi zake. Baada ya kila mmoja kusukuma gurudumu la mahusiano na watu wengine huko waliko mwisho mahusiano yakatika kikomo pia.

Unakuta wanarudi kwenye ndoa zao za awali kurudisha mapenzi na kuamua kuishi kinyumba tena. Hivi wanaume wenzangu, unapataje ujasiri wa kumrudisha kinyumba mke wako mliyetalikiana. Kwa kweli hili swala hata kwa tafakuri zangu naona sitoweza ashakumu sio matusi kuyarudia matapishi yangu niliyoyatapika, ni ngumu mno kwangu. Si kwa ubaya, ila nashangazwa na ujasiri wa watu wanaofanya hivi, tena unakuta mwanamke anarudi na matunda ya ile ndoa aliyoachika (watoto wawili au watatu😬) na unafurahia kabisa kuitwa baba😬😬

Siwezi semea wanawake wana hisia gani kuhusu hili swala, labds wao wemyewe wafunguke. Ila kama mwanaume rijali mwenye familia na watoto wawili; Mangi kutoka Rombo hata nyinywe mbege pipa mbili maamuzi yangu hayatabadilika asilani.
 
Kwa kuwaz tu jiani alivyokuwa anampikia bwana na kumwandalia futari. Ingawa jamaa ameshinda na njaa kutwa nzima na kuhangaika na jua kali bado alimla mke daku mpaka adhaba ilipolia. This is just me wondering, however my message isn't implied on any particular person on here. I am just wondering 😬😬😬
 
3dbdb8a5b52009f6bb52c9fb4f56cffc82-will-jada-august.rhorizontal.w700.jpg
 
Kuna watu wanaoa single mothers, wajane, vibibi vizeee. Wote hao wanakua wametumika vizuuri tu, mileage za kutosha. So inategemea ntu na ntu
 
Kuna watu wanaoa single mothers, wajane, vibibi vizeee. Wote hao wanakua wametumika vizuuri tu, mileage za kutosha. So inategemea ntu na ntu
Wewe unaweza?😬
wanasema usioe single maza mpaka nione kaburi la aliyekuw anamiliki chuma

Ila hizi case sio z menza uliyeachana nae mkarudiana🤣
 
Wewe unaweza?😬
wanasema usioe single maza mpaka nione kaburi la aliyekuw anamiliki chuma

Ila hizi case sio z menza uliyeachana nae mkarudiana🤣
Kama demu ana utamu mwingi namrudia kama mchepuko
 
Jamaa anapitia magumu.
Willy ni Navy Seal Candidate kabisa.
That guy is a slave to that woman. Kuna clip niliona Jada anazungumzia alivyocheat jamaa yuko pembeni ana smile
angekuwa bongo tungesema kalogwa😀
 
Back
Top Bottom