Kuolewa tena na mwenza uliyemtaliki

Mmeanza bangi na Jonnie walker Tena Leo umekunywa nn mdogo au K vant au piwa?
 
Kunywa mbeke ulale mangi😅
 
🤣🤣🤣 ndio maana nasikia wahuni wanasema kazeeka na utamu wake
Swadakta, utamu ni karama kama zingine, usishangae watu wanakomaa na viajuza wanawaacha mabinti wenye deformations kila tundu
 
That guy is a slave to that woman. Kuna clip niliona Jada anazungumzia alivyocheat jamaa yuko pembeni ana smile
angekuwa bongo tungesema kalogwa😀
Demu msukule wa Tupac ule
 
Mmeanza bangi na Jonnie walker Tena Leo umekunywa nn mdogo au K vant au piwa?
Meku. Johnnie Walker sio mtu mwenye akili timamu. Yule jamaa huwa hanaga story na watu anapita anaongea mwenyewe road. Unamuona yuko sawa 🤣

Uchagani ukipiga piwa lazima uvae suruali na ufunge na kamba za mgomba miguuni maana unaeweza jinyea mavi ya week nzima😀
 
Hapana dogo ni Ile ya upareni inaitwa kamchape
 
Swadakta, utamu ni karama kama zingine, usishangae watu wanakomaa na viajuza wanawaacha mabinti wenye deformations kila tundu
Analyse anawaelewa sana viajuza ndio pigo zake

Kuna demu aliniambiaga ni bikra ila wakati nachomeka akalalamika ila ikapenya bila hodi😀 true dat
 
Analyse anawaelewa sana viajuza ndio pigo zake

Kuna demu aliniambiaga ni bikra ila wakati nachomeka akalalamika ila ikapenya bila hodi😀 true dat
Utamu sio kitu cha kusimuliwa. Na utamu wa mtu haupo kwenye muonekano. Kuna vitu havielezeki mkuu 😅😅
 
Kunywa mbeke ulale mangi😅
Umbeke wasia mmeku. Juzi nilikuw mbege nyingi sana niliagiza matakunya toka Rombo. Ile mbege ilichachuka fasta ukipiga boora mbili macho yanapoteza nuru😆
 
Utamu sio kitu cha kusimuliwa. Na utamu wa mtu haupo kwenye muonekano. Kuna vitu havielezeki mkuu 😅😅
Au sio Shani alikuw ana utamu sio wa kusimuliwa🤣🤣🤣 alikuwa anakutunia vibaya🤣
 
Yule kuna Ugonjwa anao sidhan kama Kanyoa by choice. Sikumbuki ni Ugonjwa gani.

Kuna kitu kinaitwa open relationship wazungu wanaipenda sana hii
Ugonjwa umekula nywele zote.
Open r'ship yale mapenzi ya Bluetooth.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…