Kunywa mbeke ulale mangi😅Kwa kuwaz tu jiani alivyokuwa anampikia bwana na kumwandalia futari. Ingawa jamaa ameshinda na njaa kutwa nzima na kuhangaika na jua kali bado alimla mke daku mpaka adhaba ilipolia. This is just me wondering, however my message isn't implied on any particular person on here. I am just wondering 😬😬😬
Swadakta, utamu ni karama kama zingine, usishangae watu wanakomaa na viajuza wanawaacha mabinti wenye deformations kila tundu🤣🤣🤣 ndio maana nasikia wahuni wanasema kazeeka na utamu wake
Demu msukule wa Tupac uleThat guy is a slave to that woman. Kuna clip niliona Jada anazungumzia alivyocheat jamaa yuko pembeni ana smile
angekuwa bongo tungesema kalogwa😀
Meku. Johnnie Walker sio mtu mwenye akili timamu. Yule jamaa huwa hanaga story na watu anapita anaongea mwenyewe road. Unamuona yuko sawa 🤣Mmeanza bangi na Jonnie walker Tena Leo umekunywa nn mdogo au K vant au piwa?
Hapana dogo ni Ile ya upareni inaitwa kamchapeMeku. Johnnie Walker sio mtu mwenye akili timamu. Yule jamaa huwa hanaga story na watu anapita anaongea mwenyewe road. Unamuona yuko sawa 🤣
Uchagani ukipiga piwa lazima uvae suruali na ufunge na kamba za mgomba miguuni maana unaeweza jinyea mavi ya week nzima😀
🤣🤣 Jadda MauparAKumbe unammanya vizuri. Ila sioni maajab yake people make too much drama about her
Ugonjwa umekula nywele zote.Yule kuna Ugonjwa anao sidhan kama Kanyoa by choice. Sikumbuki ni Ugonjwa gani.
Kuna kitu kinaitwa open relationship wazungu wanaipenda sana hii