Kuolewa ukaachika au kutoolewa kabisa, kipi bora?

Ukienda kuomba kazi sehemu yeyote kigezo chao wengi wanasema uwe umefanya kazi so chini ya miaka flank ndo utapata kazi yani uzoefu, Au sio, ,Sasa basi


√√Afadhali uolewe then uachike utakuwa umefungua soko la kupata mume, sababu ni mzoefuuuu
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Usiombe yakukute unaamua kuoa unajipanga na sherehe unafanya fresh kumbe mwenzio amenyenyekea na yeye aolewe ili atuzwe vitu vya ndani na kuondoa gundu tu habari na wewe hana mambo hayo yanapatikana dsm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…