Kama ulizaliwa na unaishi ili uolewe yaani ghamira kuu ya maisha yako ni kuolewa.. mchango wako ni sahihi..
Mm nafikir watu wakionana na hawaishi kwa amani ktk ndoa na hawana furaha kama walivyotarajia ni bora wakaachana....
Na pia kama mtu haoni anayemfaa ili kuishinae ktk ndoa bora akakaa tu ivoivo..
Huku kujifanya mnashida mno za kuolewa kunachangia sana kunyanyasika... ningeshauri familia ziwaandae watoto wote ( kike na kiume) vizur ili waweze kuhimili maisha bila kuwa tegemezi..
Hakuna fedhea kuachana na mtu, wala hakuna fedhea kutoambatana na mtu..