Kuomba hela ni aibu, kuomba hela usipewe hiyo ni aibu ya pili na kukumbushia ombi la kuomba hela hiyo ni aibu ya tatu.

Kuomba hela ni aibu, kuomba hela usipewe hiyo ni aibu ya pili na kukumbushia ombi la kuomba hela hiyo ni aibu ya tatu.

Hakuna kitu inakata stimu kama una shida ya pesa ujielezeee kwa mtu weee halafu na yeye aanze kukulezea matatizo yake na kumalizia na jibu sina kitu mwaangu na unajua anayo ila kakukazia....

Ukitaka kumpiga mtu kirungu ana anado uipige vizuri.
 
Back
Top Bottom