mohamed habibu
Member
- Jun 16, 2019
- 28
- 14
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 25 na mkazi wa DODOMA, Pia nina fani ya udereva.
Dhumuni yangu kuu ni kuomba au kutafuta kazi ambayo inaweza kuniingizia kipato na kukidhi mahitaji yangu hapo mbeleni.Nina uzoefu wa fani zifuatazo:
๐๐ผ Udereva wa kuendesha magari kuanzia tan 3 hadi tani 4ยฝ,Pia nina uzoefu wa kuendesha daradara (public transportation)
๐๐ผ Nina uzoefu wa kuuza maduka ya jumla na rejareja
๐๐ผNina ujuzi wa kuwa store keeper
Kwa yoyote ambae yuko tayari naomba tuwasiliane kupitia namba 0622 94 1452 au kwa barua pepe mohamedhabibu075@gmail.com
Dhumuni yangu kuu ni kuomba au kutafuta kazi ambayo inaweza kuniingizia kipato na kukidhi mahitaji yangu hapo mbeleni.Nina uzoefu wa fani zifuatazo:
๐๐ผ Udereva wa kuendesha magari kuanzia tan 3 hadi tani 4ยฝ,Pia nina uzoefu wa kuendesha daradara (public transportation)
๐๐ผ Nina uzoefu wa kuuza maduka ya jumla na rejareja
๐๐ผNina ujuzi wa kuwa store keeper
Kwa yoyote ambae yuko tayari naomba tuwasiliane kupitia namba 0622 94 1452 au kwa barua pepe mohamedhabibu075@gmail.com