entry
JF-Expert Member
- Apr 11, 2018
- 286
- 539
Wakuu kwema, naomba tujadili hili tuweze kuongeza maarifa.
Hivi inawezekana kuomba kuonyesha kipindi chako katika kituo fulani cha TV au kusikilizwa redioni?
Kama jibu ndiyo;
1. Gharama kwa kukadiria inaweza kuwa shilingi ngapi? Najua ngumu ila kwa makadilio tu tupate mwanga.
2. Utahitaji uwe na kibali kutoka mamlaka yeyote ile ya umiliki wa hicho kipindi?
3. Mmiliki anaweza kupata faida yeyote kwa kumiliki hiko kipindi?
4. Je, kati ya redio na TV ipi ina gharama nafuu za uendeshaji (gharama nafuu za kuendesha kipindi).
Kutoka katika mawazo yangu na kwa watu wanaonizunguka, nasikia kipindi kama Mkasi ilikuwa inamilikiwa na mtu siyo kituo kinachoonyesha, kwahiyo inawezekana kumiliki kipindi.
Kuhusu swala la faida inaweza kupatikana endapo kampuni ikataka kutangaza bidhaa au huduma zake. Radio ina watu wengi na rahisi kufikia watu tofauti na TV, lakini suala la gharama sifahamu.
Naomba kuwasilisha.
Hivi inawezekana kuomba kuonyesha kipindi chako katika kituo fulani cha TV au kusikilizwa redioni?
Kama jibu ndiyo;
1. Gharama kwa kukadiria inaweza kuwa shilingi ngapi? Najua ngumu ila kwa makadilio tu tupate mwanga.
2. Utahitaji uwe na kibali kutoka mamlaka yeyote ile ya umiliki wa hicho kipindi?
3. Mmiliki anaweza kupata faida yeyote kwa kumiliki hiko kipindi?
4. Je, kati ya redio na TV ipi ina gharama nafuu za uendeshaji (gharama nafuu za kuendesha kipindi).
Kutoka katika mawazo yangu na kwa watu wanaonizunguka, nasikia kipindi kama Mkasi ilikuwa inamilikiwa na mtu siyo kituo kinachoonyesha, kwahiyo inawezekana kumiliki kipindi.
Kuhusu swala la faida inaweza kupatikana endapo kampuni ikataka kutangaza bidhaa au huduma zake. Radio ina watu wengi na rahisi kufikia watu tofauti na TV, lakini suala la gharama sifahamu.
Naomba kuwasilisha.