Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
Kivipi mkuu, hujawahi kuwaonaHili kabila nao la hovyo sana
Mtoto yupi ni wanyumbani? Usiongee usichokijua.Kwa hiyo hii nayo umeona hoja ya kuibua na kuianzishia uzi? Mtu kuuliza kuwa itakuwa ajabu kuchagua mtoto wa nyumbani ni kosa?
Humjui huoni hata mabango hapa geita yameandikwa karibu Nyumbani JPMMtoto yupi ni wanyumbani? Usiongee usichokijua.
Hili kabila limejitunzia heshima yake kwa muda mrefu na ni kabila la kuaminika sana..sema kuna wapumbafu wachache wanataka kutuharibia..hivyo nachukua nafasi hii kulaani tabia hiyo kwa wote wanaotumia ukabila kuomba kula..pia na waombea radhi muwasamehe hawajitambui.Hili kabila nao la hovyo sana
Sheria za uchaguzi zinataka kishahili tu kitumikeNi kawaida, kule nimewahi kuishi, kuna wazee kule hawajiu Kiswahili hata cha kuombea maji tu,
Acha Tu mkuu waombwe Kura Kwa lugha Yao ileile!! Na nadhani hakuna ubaya Ila tu mtizamo tu ulionao wewe
Kuna watu wanaweza kuunga mkono ujinga, sidhani kama wewe ni miongoni mwao. Kanuni zinakataza kutumia lugha za lakini kienyeji bado kuna watu wanafanya na tunawaunga mkono.Ni kawaida, kule nimewahi kuishi, kuna wazee kule hawajiu Kiswahili hata cha kuombea maji tu,
Acha Tu mkuu waombwe Kura Kwa lugha Yao ileile!! Na nadhani hakuna ubaya Ila tu mtizamo tu ulionao wewe
Waulize kenya wakikuyu na wajaluo ukabila sioKwa hiyo hii nayo umeona hoja ya kuibua na kuianzishia uzi? Mtu kuuliza kuwa itakuwa ajabu kuchagua mtoto wa nyumbani ni kosa?
Kilichofanyikaga pale singida mh Lisu akiongea na Wanyaturu kilikuwa ni Kiswahili kweli kile?Kuna watu wanaweza kuunga mkono ujinga, sidhani kama wewe ni miongoni mwao. Kanuni zinakataza kutumia lugha za lakini kienyeji bado kuna watu wanafanya na tunawaunga mkono.
Kuna ukabila kusema wanyumbani karibu? Au itashangaza kuchagua mtu ambae sio wa nyumbani? Maana hajasema chagueni msukuma mwenzenu.Waulize kenya wakikuyu na wajaluo ukabila sio
Review your thinking capacityNi kawaida, kule nimewahi kuishi, kuna wazee kule hawajui Kiswahili hata cha kuombea maji tu. Acha Tu mkuu waombwe Kura Kwa lugha Yao ileile!! Na nadhani hakuna ubaya Ila tu mtizamo tu ulionao wewe