MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Mie naona kuomba msamaha ni poa tu, kama umemkosea mwenzako kwa nini usiombe msamaha... hii ndiyo kuanzaisha resentment kibao migogoro ikaanza na taking each other for granted..... juzi Mr. nikiendesha gari...mara nishaambiwa nipack gari kando oh sijui ataendesha yeye. Ala!!!! nilinuna mpaka akaomba msamaha kwani mie mtoto!!!!! tena ikawa sitaki kumuona.
.... Nigeieni basi na mimi hii bahati? maana mie weza nuna hadi jua likashuka na msamaha usiombwe hata kama kakosa yeye....... yaani nimechoka kabisa