Kuomba uanachama JF

Kuomba uanachama JF

Sawa
karibu,ila kwa mujibu wa kanuni za hapa JF section 5d.,..yafuatayo lazima yazingatiwe..

~tatoo ni marufuku
~wanja wa send off
~kuji cream
~mahereni ya uswazi

nje ya hapo wewe ni very handsome na ingekuwa ni binti tungesema..
~very astounding beautiful
 
karibu,ila kwa mujibu wa kanuni za hapa JF section 5d.,..yafuatayo lazima yazingatiwe..

~tatoo ni marufuku
~wanja wa send off
~kuji cream
~mahereni ya uswazi

nje ya hapo wewe ni very handsome na ingekuwa ni binti tungesema..
~very astounding beautiful

Sawa nimeelewa
 
Safi,atalitendea haki swala ilo,ili aendelee kuburudika na jamii forum,kazia kabisa,agiza soda kwa mangi,bill kwangu
Asante kwa soda
Kashaweka picha na namba

Usisahau kutuma na ya kutolea sasa 😂
 
Asante kwa soda
Kashaweka picha na namba

Usisahau kutuma na ya kutolea sasa 😂
Hahaha nimeona ,ngoja niende pm kwake Kama upepo,ongeza nguvu nidalalie basi mabaharia wasije niwahi,muhamala usome kwenye simu yako chap
 
Back
Top Bottom