Kuombwa Hela Kijijini

Kuombwa Hela Kijijini

Hahaha ukundi kawari ee enda oo kwa matesha ukobe ngama ngishe taa, akuninge kashori kamu

Hahahah we jamaa umenikumbusha nyumbani, mie niko Dar nitawasalimia nikienda aisee na gari ya Tilisho au Ester
Ayauu mmeku..
 
Sasa unazani unaitwaje! Ndiyo majina yao,sasa uwe hujaoa siku ukioa majukumu yameongezeka pesa hawapewi kama zamani utasikia mkewe huyo hasira zote kwa mke

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahaha yani wewe umepigilia msumari kwa nyundo
Mke kumbe hana hata kosa chuki mbaya sana
 
Back
Top Bottom