Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,210
- 5,752
Msaada please!
Nina ndugu yangu hapa mke wake anaujauzito wa miezi 6 ila tatizo lake ni kuwa, anaona maruweruwe machoni pake si mchana wala usiku. Je ni nini tatizo?
Nina ndugu yangu hapa mke wake anaujauzito wa miezi 6 ila tatizo lake ni kuwa, anaona maruweruwe machoni pake si mchana wala usiku. Je ni nini tatizo?