Yaani corona imekaa kiupigajipigaji sana unaweza pimwa uku ukawa mzima kule ukute unaumwa mara chanjo janja janja uwanjani nako mara huku waruhusiwe kule wazuiwe yaani shaghala baghala . kwenye siasa ndio balaa kabisa naanza kukubaliana na watu wanayoihusha corona na mipango ya kiimani