Kuondoa lawama sasa kila mtu abaki na mali zake. Wadada mubaki na mali zenu na wakaka tubaki na mali zetu.

Nyie wanaume mnaweza kubaki na mali zenu sasa? Yaani mnavyotubembelezaga tutumie hela zenu hadi huruma.

Unakuta kila siku mtu anakubembeleza akutoe dinner, mara ooh unapendelea zawadi gani, mara hiyo elfu 50 nunua bando.

Unamwambia mtu hutaki ila anaendelea kukulazimisha utumie hela zake.
 
Acha kudate usiowapenda .mm wangu akiona sina hela ananipa 50 nkalewe na washkaj
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…