Mgoda simtwange
Senior Member
- Sep 7, 2012
- 168
- 64
Napiga mswaki kila siku kwa kutumia colgate. Upande wa nje wa meno yangu ipo safi na yanang'aa sana. Tatizo lipo upande wa ndani wa kila jino kwenye kinywa ambako kuna madoa meusi.
Hata nipige mswaki kiasi gani yale madoa meusi (uchafu mweusi) hayatoki/hautoki. Kimsingi haya madoa meusi upande wa ndani wa meno yangu ni kero kwangu.
Watalaamu naomba mnisaidie niyasafishe namna gan?, nitumie nini? au dawa gani? nifanye nini ili sehemu ya ndani ya jino isichafuke?
Hata nipige mswaki kiasi gani yale madoa meusi (uchafu mweusi) hayatoki/hautoki. Kimsingi haya madoa meusi upande wa ndani wa meno yangu ni kero kwangu.
Watalaamu naomba mnisaidie niyasafishe namna gan?, nitumie nini? au dawa gani? nifanye nini ili sehemu ya ndani ya jino isichafuke?