kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Rais Mama Samia alirejesha tozo ya Sh.100 iliyokuwa imetolewa kwenye mafuta ya petrol, dizeli na mafuta ya taa ni nani alikosea kuitoa na ni nani kati ya wafuatao ajitafakari kati ya Waziri wa nishati na waziri wa fedha na afanye hivyo lini ili iwe fundisho kwa wengine?
Kama Ndugai ilijitafakari kwa kutaka kulikosesha taifa pesa kwa njia ya mikopo kwanini hawa waliolikosesha pesa taifa kwa njia ya tozo washindwe kujitafakari?
Tuepuke kufumbia macho double standards ili tusikwame huko mbele ya safari, Mama Samia ameonyesha kuwa yuko serious na nchi hii, tusimchukulie poa na tusije tukasababisha kampeni zake huko mbele.
Kama Ndugai ilijitafakari kwa kutaka kulikosesha taifa pesa kwa njia ya mikopo kwanini hawa waliolikosesha pesa taifa kwa njia ya tozo washindwe kujitafakari?
Tuepuke kufumbia macho double standards ili tusikwame huko mbele ya safari, Mama Samia ameonyesha kuwa yuko serious na nchi hii, tusimchukulie poa na tusije tukasababisha kampeni zake huko mbele.