Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Kama sikosei ni week ya 3 hii napojiunga kifurushi cha data kupitia Airtel sipati option ya kufahamu nmetumia au kubakiwa na data kiasi gani.
Hapa wametengeneza mazingira ya kumwibia mteja. Ili ije tokea suddenly death. Ukishtuka tu wanakwambia umeshatumia takriban asilimia 90 wakati unasoma hiyo text unaaambiwa salio limeisha.
Sasa huu si wizi? Airtel maisha yamekuwa magumu kwetu sote.si ninyi peke yenu. Huu mchezo mnaofanya si mzuri unaweza kutufanya nasi tuanze kufikiria michezo mingine then tukaingizana hasara.
Tupeni Menu yenye Option ya kuangalia salio la data lililobaki. Mkiendelea hivi naelekea kufungua kesi mahakamani ya Wizi kwenye Data zangu.
Hapa wametengeneza mazingira ya kumwibia mteja. Ili ije tokea suddenly death. Ukishtuka tu wanakwambia umeshatumia takriban asilimia 90 wakati unasoma hiyo text unaaambiwa salio limeisha.
Sasa huu si wizi? Airtel maisha yamekuwa magumu kwetu sote.si ninyi peke yenu. Huu mchezo mnaofanya si mzuri unaweza kutufanya nasi tuanze kufikiria michezo mingine then tukaingizana hasara.
Tupeni Menu yenye Option ya kuangalia salio la data lililobaki. Mkiendelea hivi naelekea kufungua kesi mahakamani ya Wizi kwenye Data zangu.