Nitaeleza kwa kifupi Sana!
Maana nafahamu watu wengi wanapenda mijadala ya pombe na umbea kuliko kuchangia mijadala ya haki na katiba!
JE; KITAMBI NI KOSA LA ASKARI AU LA MFUMO WA KAZI?
Watu wengi huwa wanashabikia mambo bila kuangalia kanuni za kazi zikoje!?
kazi ya Utrafiki siyo nyepesi Kama watu wanavyoichukulia.
Ni kazi yenye maelekezo kulingana na sheria za inchi na kanuni zilizopo! mfano; Sheria ya usalama barabarani etc
Ni kazi inayojumuisha mambo mengi ikiwemo ulinzi, kuzuia magendo, usalama wa watumia barabara, mawasiliano ya njia, na kusaidia kusimamia maelekezo ya mamlaka zingine. mfano (TRA ,Misitu, bahari et)
Kwahiyo ili Askali afae kuwa Traffic Officer Ni lazima Ahudhurie mafunzo maalum (kozi maalum) ili aweze kusimamia hayo ipasavyo!
Kwa mujibu wa Sheria zetu Tanzania (Road Traffic act), Traffic ni officer Anaruhusiwa kukagua chombo chochote Cha usafili barabarani hata Kama ni toroli pasipo kuogopa hadhi au cheo Cha mtu anaeikiendesha!
Ndiyo maana Traffic Ni kikosi kamili ndani ya Jeshi la polisi!
Ili Askari uweze kumbadilishia kikosi kuwa Traffic! Shuruti aende mafunzo ya miezi mitatu!
MASWALI
SWALI; Kama Traffic mwenye kitambi utamuondoa kisa kitambi, UNA UHAKIKA GANI KAMA HUYO ANAEKUJA HATOPATA KITAMBI?
Je, MIFUMO iliyompa KITAMBI huyu hakiwezi kumpa KITAMBI mwingine ajaye?
Je, Trafiki officer anawajibishwa na nani awapo barabarani endapo atambambikia mtu makosa?
Je, Ni mda gani Trafiki Anaruhusiwa kumshikilia dreva wawapo barabarani pasipo kumpotezea mda ili asishawishike kutoa rushwa kwa hofu ya kupotezewa mda?
Je, Ni mambo gani Trafiki wa kawaida haruhusiwi kukagulia barabarani bila kuwepo kwa VEHICLE OFFICER!
Je, Upi Ni utaratibu maalum wa kukagua,? au ni maamuzi binafsi ya Trafiki atakavyoamua kukagua ili kutafta kosa? N.K
KITAMBI NI MFUMO, TUBADILI MFUMO KWANZA VITAMBI VITATOKA VYENYEWE!
Maana nafahamu watu wengi wanapenda mijadala ya pombe na umbea kuliko kuchangia mijadala ya haki na katiba!
JE; KITAMBI NI KOSA LA ASKARI AU LA MFUMO WA KAZI?
Watu wengi huwa wanashabikia mambo bila kuangalia kanuni za kazi zikoje!?
kazi ya Utrafiki siyo nyepesi Kama watu wanavyoichukulia.
Ni kazi yenye maelekezo kulingana na sheria za inchi na kanuni zilizopo! mfano; Sheria ya usalama barabarani etc
Ni kazi inayojumuisha mambo mengi ikiwemo ulinzi, kuzuia magendo, usalama wa watumia barabara, mawasiliano ya njia, na kusaidia kusimamia maelekezo ya mamlaka zingine. mfano (TRA ,Misitu, bahari et)
Kwahiyo ili Askali afae kuwa Traffic Officer Ni lazima Ahudhurie mafunzo maalum (kozi maalum) ili aweze kusimamia hayo ipasavyo!
Kwa mujibu wa Sheria zetu Tanzania (Road Traffic act), Traffic ni officer Anaruhusiwa kukagua chombo chochote Cha usafili barabarani hata Kama ni toroli pasipo kuogopa hadhi au cheo Cha mtu anaeikiendesha!
Ndiyo maana Traffic Ni kikosi kamili ndani ya Jeshi la polisi!
Ili Askari uweze kumbadilishia kikosi kuwa Traffic! Shuruti aende mafunzo ya miezi mitatu!
MASWALI
SWALI; Kama Traffic mwenye kitambi utamuondoa kisa kitambi, UNA UHAKIKA GANI KAMA HUYO ANAEKUJA HATOPATA KITAMBI?
Je, MIFUMO iliyompa KITAMBI huyu hakiwezi kumpa KITAMBI mwingine ajaye?
Je, Trafiki officer anawajibishwa na nani awapo barabarani endapo atambambikia mtu makosa?
Je, Ni mda gani Trafiki Anaruhusiwa kumshikilia dreva wawapo barabarani pasipo kumpotezea mda ili asishawishike kutoa rushwa kwa hofu ya kupotezewa mda?
Je, Ni mambo gani Trafiki wa kawaida haruhusiwi kukagulia barabarani bila kuwepo kwa VEHICLE OFFICER!
Je, Upi Ni utaratibu maalum wa kukagua,? au ni maamuzi binafsi ya Trafiki atakavyoamua kukagua ili kutafta kosa? N.K
KITAMBI NI MFUMO, TUBADILI MFUMO KWANZA VITAMBI VITATOKA VYENYEWE!