Ali hawezi shindana na Mond, wala harmonize walioshindana nae wote hapo awali hawapo wamepotea
why?
Kiba hatoi back to back!..anaweza akakaa miaka miwili akatoa hit song kisha akapotea!!...kujua anafanya nini ana uwezo gani ni ngumu, huyu wataisha akina Mond na wote mnaowajua yeye atabaki!'
Kama mtaishi maisha marefu, Kiba atatoa nyimbo mpaka uzeeni..iko damuni, na hana mzuka wa kushindana na mtu
Kwa hiyo uko sahihi, Kiba yuko level zingine, miziki mingine, vision tofauti na hao
Hata miaka sita anaweza kukaa kimya, siku akitoa anafuta zingine kwa muda na anakuwa kama "yuko kila siku kwenye game"