Kuondoka kwa Harmonize WCB tutegemee Mwisho wa Ali Kiba?

Kuondoka kwa Harmonize WCB tutegemee Mwisho wa Ali Kiba?

mkuu kwani diamond alitokea wapi? na kabla yake nani alikuwa juu kimuziki? na ikawaje akatoboa?

umeandika kwa mahaba

ila mziki hata wewe ukiimba leo utapata washabiki

Diamond bila drama zingine hana nguvu hiyo

wakiimba Live hapa akina aslay, marioo rayvanny wanamkalisha, ni promo


kikubwa usipate na mahaba mpaka kujiapiza
Dah! Umenichekesha eti aslay,Mario eti wanamzidi diamond live band hiv kijana unaangaliaga kwel show za live band za Mond au unaangaliaga za pay back?ebu kaangalie insta ya diamond amepost show ya live band aliyofanya Rwanda alafu acha kuongea upupu kijana ebu weka hata show moja ya Mario akipiga live band?kwa hiyo diamond anajaza Sana kwenye show zake kuliko msanii yoyote unataka kuniambia watu wanaenda kwaajili ya kuangalia drama?
 
Dah! Umenichekesha eti aslay,Mario eti wanamzidi diamond live band hiv kijana unaangaliaga kwel show za live band za Mond au unaangaliaga za pay back?ebu kaangalie insta ya diamond amepost show ya live band aliyofanya Rwanda alafu acha kuongea upupu kijana ebu weka hata show moja ya Mario akipiga live band?kwa hiyo diamond anajaza Sana kwenye show zake kuliko msanii yoyote unataka kuniambia watu wanaenda kwaajili ya kuangalia drama?

pay back ni nini?

Live band wapi imetajwa?😂😂😂
 
Ali hawezi shindana na Mond, wala harmonize walioshindana nae wote hapo awali hawapo wamepotea

why?

Kiba hatoi back to back!..anaweza akakaa miaka miwili akatoa hit song kisha akapotea!!...kujua anafanya nini ana uwezo gani ni ngumu, huyu wataisha akina Mond na wote mnaowajua yeye atabaki!'

Kama mtaishi maisha marefu, Kiba atatoa nyimbo mpaka uzeeni..iko damuni, na hana mzuka wa kushindana na mtu

Kwa hiyo uko sahihi, Kiba yuko level zingine, miziki mingine, vision tofauti na hao

Hata miaka sita anaweza kukaa kimya, siku akitoa anafuta zingine kwa muda na anakuwa kama "yuko kila siku kwenye game"
Dah umenichekesha alikiba sikuizi kashakufa kimziki ngoma yake ya mwisho ni mbio na imeshindwa kufanya vizuri Kuna ngoma pia amefanya na will Paul pamoja na ommy nayo imekufa kifo Cha mende yaani wewe jamaa una moyo Sana kumtetea alikiba.
 
Dah umenichekesha alikiba sikuizi kashakufa kimziki ngoma yake ya mwisho ni mbio na imeshindwa kufanya vizuri Kuna ngoma pia amefanya na will Paul pamoja na ommy nayo imekufa kifo Cha mende yaani wewe jamaa una moyo Sana kumtetea alikiba.

Yaani kufa kimuziki umeamua wewe

huo wimbo wa paul, kiba ommy una viewers 1.1m, hata wangekuwa laki moja tu; ukweli unabaki pale pale hata wewe ukiamua kuimba utapata washabiki hata wawili tu!..utakuwa umekufa kimuziki??

wewe kesho utamkimbia Diamond viewers wakishuka!..

angalia royalty ya wapenzi wa mtu, ina nguvu sana sio mzuka wa utube ndugu
 
Itakuwa smart phone yake si unajuwa smartphone usipokuwa makini tu una-type vibaya.
Ebu mwambie huyo jamaa anafikiri tunaandika kwenye daftari sema jamaa anakwepa hoja zangu kwa kujificha kwenye kukosea kuandika neno play back
 
Yaani kufa kimuziki umeamua wewe

huo wimbo wa paul, kiba ommy una viewers 1.1m, hata wangekuwa laki moja tu; ukweli unabaki pale pale hata wewe ukiamua kuimba utapata washabiki hata wawili tu!..utakuwa umekufa kimuziki??

wewe kesho utamkimbia Diamond viewers wakishuka!..

angalia royalty ya wapenzi wa mtu, ina nguvu sana sio mzuka wa utube ndugu
Kama ngoma zake azifanyi vizuri kuanzia redion mpaka mtaani wewe uoni ndio anguko lenyewe ngoma za nandi,Mario Zina hit kuliko ngoma za alikiba.Pia elewa kwamba tunamkubali diamond cos anatupa mziki mzuri tunaotaka ngoma za diamond zipo everywhere kwenye mashughuli mtaani bodaboda club unaanzaje kukwepa ngoma zake? Lazima uelewe ngoma zake aziishii pekee kwenye viewers.
 
Ali hawezi shindana na Mond, wala harmonize walioshindana nae wote hapo awali hawapo wamepotea

why?

Kiba hatoi back to back!..anaweza akakaa miaka miwili akatoa hit song kisha akapotea!!...kujua anafanya nini ana uwezo gani ni ngumu, huyu wataisha akina Mond na wote mnaowajua yeye atabaki!'

Kama mtaishi maisha marefu, Kiba atatoa nyimbo mpaka uzeeni..iko damuni, na hana mzuka wa kushindana na mtu

Kwa hiyo uko sahihi, Kiba yuko level zingine, miziki mingine, vision tofauti na hao

Hata miaka sita anaweza kukaa kimya, siku akitoa anafuta zingine kwa muda na anakuwa kama "yuko kila siku kwenye game"
naomba unitajie ngoma moja ya kiba ambayo ina tabia uliyoielezea hapo juu kuna mdau anataka kujua nmeshindwa kumjibu embu tusaidie mimi na mdau hapa ili tuamini uyasemayo
 
naomba unitajie ngoma moja ya kiba ambayo ina tabia uliyoielezea hapo juu kuna mdau anataka kujua nmeshindwa kumjibu embu tusaidie mimi na mdau hapa ili tuamini uyasemayo

nyimbo za mwana, chekecha, kadogo zote zili hit na ametoa kipindi ambacho kila mmoja anajua ashakufa kimuziki

hoja yangu ni kuwa kama Diamond yuko juu, hawezi kamwe kushindana na Kiba

Kiba katulia na hana papara anaweza kukaa hata miaka minne na akatoa wimbo na ukafanya vizuri.Diamond hajawahi pitia hii test ya kukaa more than three years kisha aje atoe wimbo

Kuwa nani ana viewers wengi ni Diamond, nani anajaza kumbi diamond'

Kiba yuko moderate na washabiki wake ni royal hawasukumwi kwa upepo wa msimu, ukiangalia shows za kadogo Live utaona nilichoandika

so Kiba he is there to stay!!! hata kama kwa mezi nane hatasikika, akitoa atasikika na hafi

hii ni reality
 
Hivi nikimponda mwanamziki au mcheza sinema yeyote napata mgao mahali? Pesa wale wenyewe, nyinyi mnapoteza muda na mb zenu kuwadiscuss. Ongeeni yanayotusibu nchini kama elimu, afya na maji vingine waachie akina domokaya na wenzao.
 
M
nyimbo za mwana, chekecha, kadogo zote zili hit na ametoa kipindi ambacho kila mmoja anajua ashakufa kimuziki

hoja yangu ni kuwa kama Diamond yuko juu, hawezi kamwe kushindana na Kiba

Kiba katulia na hana papara anaweza kukaa hata miaka minne na akatoa wimbo na ukafanya vizuri.Diamond hajawahi pitia hii test ya kukaa more than three years kisha aje atoe wimbo

Kuwa nani ana viewers wengi ni Diamond, nani anajaza kumbi diamond'

Kiba yuko moderate na washabiki wake ni royal hawasukumwi kwa upepo wa msimu, ukiangalia shows za kadogo Live utaona nilichoandika

so Kiba he is there to stay!!! hata kama kwa mezi nane hatasikika, akitoa atasikika na hafi

hii ni reality
Mbona ngoma zake Kama mbio,hela,maumivu per day pamoja na mvumo wa radi mbona zimeshindwa kuhit na ukizingatia mbio ndio wimbo wa mwisho nao ulibuma ndugu huo ujasiri wakumtetea kiba unaupata wapi? Lakini pia sio ngoma zake pekee zilizoshindwa kufanya vizuri pia hata ngoma alizoshirikishwa mfano ngoma ya will Paul pamoja na ommy dimpoz nyingine aliyofanya na ommy dimpoz inaitwa rockstar.
 
M
Mbona ngoma zake Kama mbio,hela,maumivu per day pamoja na mvumo wa radi mbona zimeshindwa kuhit na ukizingatia mbio ndio wimbo wa mwisho nao ulibuma ndugu huo ujasiri wakumtetea kiba unaupata wapi? Lakini pia sio ngoma zake pekee zilizoshindwa kufanya vizuri pia hata ngoma alizoshirikishwa mfano ngoma ya will Paul pamoja na ommy dimpoz nyingine aliyofanya na ommy dimpoz inaitwa rockstar.

Naona una kichwa kizito ndugu

hizo nyimbo ambazo unasema hazija hit hazina viewer hata mmoja?

umezijuaje?
 
N hatia kumfananisha msanii mkubwa kama alikibA unamfananisha Na chocolate
 
Alikiba msanii mzuri lakini....lakini analeta ubishooo kwenye kazi.huwezi toa wimbo mmja kwa mwaka halafu mwenzio akatoa nyimbo 4 au mbaka 10 halafu utegemee ushindani...
 
Back
Top Bottom