Kuondoka kwa Hayati Magufuli kumewavua nguo wapinzani

Kuondoka kwa Hayati Magufuli kumewavua nguo wapinzani

Marehemu dikiteta magufuli alikoleza moto matatizo ya nchi hii, kifo cha dikiteta huyu kimekuwa si ahueni kwa wapinzani tu, Bali kimeleta ahueni na kwa wanaccm na taifa kwa ujumla
 
Nimetafakari nikakumbuka story ya jamaa waliokuwa wanamkimbiza mwizi ila hawamjui ( hawana target). Kufika sehemu wakaanza kuulizana mwizi yuko wapi kila mtu hata mimi sijui.

Kuondoka kwa JPM kumewavua nguo wapinzani.

1: Imethibitika huwa wanapinga watu na sio mfumo uliopo dhidi ya mfumo mbadala wanaouamini.

2: Sasa hivi kama wamepigwa butwaa wanashindwa wanzie wapi. Wampinge mama au washambulie Marehemu. Wapowapo tu bila dira.

3: Hawana dai moja lenye consistency ambalo hata kama chama tawala kibadilishe mtawala wao wapigekelele yenye kiwango hichohicho. Ni kama watu wanaofukuza upepo, unakoelekea nak wanakimbizia huko.

4: Sasa hivi ndio ilikuwa fursa ya kutushawishi wananchi maana mambo mengi yako neutral. Ila naona kama wanaviziavizia kutafuta viudhaifu wapate pa kuanzia kufanya mihadhara.

5: Wanaichukia CCM wakati wanamsifia Rais wa CCM. Haijulikani wakati uliopita walikuwa wanampinga rais au taasisi nzima iliyokuwa inatawala maana wanayemsifu ndiye mshauri pia wa yaliyopita.

Wapinzani mmeacha ombwe kubwa sana, akitokea mtu mwenye akili na rasilimali fedha na ushawishi anaweza kuanzisha chama bora msimu huu kinachoweza kufuta chadema, cuf,ACT n.k maana wameshindwa kujua kuna mapinduzi makubwa sana ya kimtazamo wa kisiasa hadi kwa mtanzania asiyejua kitu sasa kuliko miaka 6 iliyopita. CCM wanajitahidi kuwa Agile wakinyumbuka kila kukicha wakati wenzao wako rigid wakiishi kwa kitegemea tuhuma na tetesi na sio mipango.

Yangu ni hayo tu.
Wapinzani wamemvua sanda.
 
Nimetafakari nikakumbuka story ya jamaa waliokuwa wanamkimbiza mwizi ila hawamjui (hawana target). Kufika sehemu wakaanza kuulizana mwizi yuko wapi kila mtu hata mimi sijui.

Kuondoka kwa JPM kumewavua nguo wapinzani.

1: Imethibitika huwa wanapinga watu na sio mfumo uliopo dhidi ya mfumo mbadala wanaouamini.

2: Sasa hivi kama wamepigwa butwaa wanashindwa wanzie wapi. Wampinge mama au washambulie Marehemu. Wapowapo tu bila dira.

3: Hawana dai moja lenye consistency ambalo hata kama chama tawala kibadilishe mtawala wao wapigekelele yenye kiwango hichohicho. Ni kama watu wanaofukuza upepo, unakoelekea nak wanakimbizia huko.

4: Sasa hivi ndio ilikuwa fursa ya kutushawishi wananchi maana mambo mengi yako neutral. Ila naona kama wanaviziavizia kutafuta viudhaifu wapate pa kuanzia kufanya mihadhara.

5: Wanaichukia CCM wakati wanamsifia Rais wa CCM. Haijulikani wakati uliopita walikuwa wanampinga rais au taasisi nzima iliyokuwa inatawala maana wanayemsifu ndiye mshauri pia wa yaliyopita.

Wapinzani mmeacha ombwe kubwa sana, akitokea mtu mwenye akili na rasilimali fedha na ushawishi anaweza kuanzisha chama bora msimu huu kinachoweza kufuta Chadema, CUF, ACT n.k maana wameshindwa kujua kuna mapinduzi makubwa sana ya kimtazamo wa kisiasa hadi kwa mtanzania asiyejua kitu sasa kuliko miaka 6 iliyopita. CCM wanajitahidi kuwa agile wakinyumbuka kila kukicha wakati wenzao wako rigid wakiishi kwa kitegemea tuhuma na tetesi na sio mipango.

Yangu ni hayo tu.

Ccm wananyumbulika kwa kura za kwenye mabeg? Peleka utoto mbali. Kama ccm ingekuwa inasimama kama taasisi na sio mtu, kwenye hutuba za huyo mama ungeendelea kusikia maneno vita vya kiuchumi, mabeberu, wanyonge nk.
 
Nimetafakari nikakumbuka story ya jamaa waliokuwa wanamkimbiza mwizi ila hawamjui (hawana target). Kufika sehemu wakaanza kuulizana mwizi yuko wapi kila mtu hata mimi sijui.

Kuondoka kwa JPM kumewavua nguo wapinzani.

1: Imethibitika huwa wanapinga watu na sio mfumo uliopo dhidi ya mfumo mbadala wanaouamini.

2: Sasa hivi kama wamepigwa butwaa wanashindwa wanzie wapi. Wampinge mama au washambulie Marehemu. Wapowapo tu bila dira.

3: Hawana dai moja lenye consistency ambalo hata kama chama tawala kibadilishe mtawala wao wapigekelele yenye kiwango hichohicho. Ni kama watu wanaofukuza upepo, unakoelekea nak wanakimbizia huko.

4: Sasa hivi ndio ilikuwa fursa ya kutushawishi wananchi maana mambo mengi yako neutral. Ila naona kama wanaviziavizia kutafuta viudhaifu wapate pa kuanzia kufanya mihadhara.

5: Wanaichukia CCM wakati wanamsifia Rais wa CCM. Haijulikani wakati uliopita walikuwa wanampinga rais au taasisi nzima iliyokuwa inatawala maana wanayemsifu ndiye mshauri pia wa yaliyopita.

Wapinzani mmeacha ombwe kubwa sana, akitokea mtu mwenye akili na rasilimali fedha na ushawishi anaweza kuanzisha chama bora msimu huu kinachoweza kufuta Chadema, CUF, ACT n.k maana wameshindwa kujua kuna mapinduzi makubwa sana ya kimtazamo wa kisiasa hadi kwa mtanzania asiyejua kitu sasa kuliko miaka 6 iliyopita. CCM wanajitahidi kuwa agile wakinyumbuka kila kukicha wakati wenzao wako rigid wakiishi kwa kitegemea tuhuma na tetesi na sio mipango.

Yangu ni hayo tu.
Labda kama unawaongelea wapinzani kama Mrema, Lipumba, Mbatia, Zitto , nk.

Mpinzani wa kweli huyu hapa chini, embu msome uone anachosema kuhusu Samia... huyu kasha declare kabisa kuwa kuondoka kwa Magufuli ni blessing in disguise but Samia inabidi ajutie na kuomba msamaha wa madhambi ya mtangulizi wake ili awe na moral authority ya kujitofautisha.

1619176551435.png
 
Nimetafakari nikakumbuka story ya jamaa waliokuwa wanamkimbiza mwizi ila hawamjui (hawana target). Kufika sehemu wakaanza kuulizana mwizi yuko wapi kila mtu hata mimi sijui.

Kuondoka kwa JPM kumewavua nguo wapinzani.

1: Imethibitika huwa wanapinga watu na sio mfumo uliopo dhidi ya mfumo mbadala wanaouamini.

2: Sasa hivi kama wamepigwa butwaa wanashindwa wanzie wapi. Wampinge mama au washambulie Marehemu. Wapowapo tu bila dira.

3: Hawana dai moja lenye consistency ambalo hata kama chama tawala kibadilishe mtawala wao wapigekelele yenye kiwango hichohicho. Ni kama watu wanaofukuza upepo, unakoelekea nak wanakimbizia huko.

4: Sasa hivi ndio ilikuwa fursa ya kutushawishi wananchi maana mambo mengi yako neutral. Ila naona kama wanaviziavizia kutafuta viudhaifu wapate pa kuanzia kufanya mihadhara.

5: Wanaichukia CCM wakati wanamsifia Rais wa CCM. Haijulikani wakati uliopita walikuwa wanampinga rais au taasisi nzima iliyokuwa inatawala maana wanayemsifu ndiye mshauri pia wa yaliyopita.

Wapinzani mmeacha ombwe kubwa sana, akitokea mtu mwenye akili na rasilimali fedha na ushawishi anaweza kuanzisha chama bora msimu huu kinachoweza kufuta Chadema, CUF, ACT n.k maana wameshindwa kujua kuna mapinduzi makubwa sana ya kimtazamo wa kisiasa hadi kwa mtanzania asiyejua kitu sasa kuliko miaka 6 iliyopita. CCM wanajitahidi kuwa agile wakinyumbuka kila kukicha wakati wenzao wako rigid wakiishi kwa kitegemea tuhuma na tetesi na sio mipango.

Yangu ni hayo tu.
Usivute bangi tena
 
Nimetafakari nikakumbuka story ya jamaa waliokuwa wanamkimbiza mwizi ila hawamjui (hawana target). Kufika sehemu wakaanza kuulizana mwizi yuko wapi kila mtu hata mimi sijui.

Kuondoka kwa JPM kumewavua nguo wapinzani.

1: Imethibitika huwa wanapinga watu na sio mfumo uliopo dhidi ya mfumo mbadala wanaouamini.

2: Sasa hivi kama wamepigwa butwaa wanashindwa wanzie wapi. Wampinge mama au washambulie Marehemu. Wapowapo tu bila dira.

3: Hawana dai moja lenye consistency ambalo hata kama chama tawala kibadilishe mtawala wao wapigekelele yenye kiwango hichohicho. Ni kama watu wanaofukuza upepo, unakoelekea nak wanakimbizia huko.

4: Sasa hivi ndio ilikuwa fursa ya kutushawishi wananchi maana mambo mengi yako neutral. Ila naona kama wanaviziavizia kutafuta viudhaifu wapate pa kuanzia kufanya mihadhara.

5: Wanaichukia CCM wakati wanamsifia Rais wa CCM. Haijulikani wakati uliopita walikuwa wanampinga rais au taasisi nzima iliyokuwa inatawala maana wanayemsifu ndiye mshauri pia wa yaliyopita.

Wapinzani mmeacha ombwe kubwa sana, akitokea mtu mwenye akili na rasilimali fedha na ushawishi anaweza kuanzisha chama bora msimu huu kinachoweza kufuta Chadema, CUF, ACT n.k maana wameshindwa kujua kuna mapinduzi makubwa sana ya kimtazamo wa kisiasa hadi kwa mtanzania asiyejua kitu sasa kuliko miaka 6 iliyopita. CCM wanajitahidi kuwa agile wakinyumbuka kila kukicha wakati wenzao wako rigid wakiishi kwa kitegemea tuhuma na tetesi na sio mipango.

Yangu ni hayo tu.
Wewe unajua madai yao,lakini unajifanya hujui kama ni KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI
 
Kinachopingwa ni mfumo, na ukumbuke huo mfuno unaendeshwa na watu( magu alijimilikisha kila kitu kikawa n yy tu hakuitaji hata ushauri) ndo maana unaona kama alokuwa akipingwa n Magufuli.
Rejea bunge la miaka yote lililokuwa na upinzani ndani yake fuatilia hoja zake utagundua kilikuwa kinaongelewa mtu or mfumo.
 
Wewe unajua madai yao,lakini unajifanya hujui kama ni KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI
msisitizo wa madai uko wapi mkuu.

Hasa kwenye loophole hii ambapo kiongozi mpya ameingia na anaonyesha kusikiliza.
 
Nimetafakari nikakumbuka story ya jamaa waliokuwa wanamkimbiza mwizi ila hawamjui (hawana target). Kufika sehemu wakaanza kuulizana mwizi yuko wapi kila mtu hata mimi sijui.

Kuondoka kwa JPM kumewavua nguo wapinzani.

1: Imethibitika huwa wanapinga watu na sio mfumo uliopo dhidi ya mfumo mbadala wanaouamini.

2: Sasa hivi kama wamepigwa butwaa wanashindwa wanzie wapi. Wampinge mama au washambulie Marehemu. Wapowapo tu bila dira.

3: Hawana dai moja lenye consistency ambalo hata kama chama tawala kibadilishe mtawala wao wapigekelele yenye kiwango hichohicho. Ni kama watu wanaofukuza upepo, unakoelekea nak wanakimbizia huko.

4: Sasa hivi ndio ilikuwa fursa ya kutushawishi wananchi maana mambo mengi yako neutral. Ila naona kama wanaviziavizia kutafuta viudhaifu wapate pa kuanzia kufanya mihadhara.

5: Wanaichukia CCM wakati wanamsifia Rais wa CCM. Haijulikani wakati uliopita walikuwa wanampinga rais au taasisi nzima iliyokuwa inatawala maana wanayemsifu ndiye mshauri pia wa yaliyopita.

Wapinzani mmeacha ombwe kubwa sana, akitokea mtu mwenye akili na rasilimali fedha na ushawishi anaweza kuanzisha chama bora msimu huu kinachoweza kufuta Chadema, CUF, ACT n.k maana wameshindwa kujua kuna mapinduzi makubwa sana ya kimtazamo wa kisiasa hadi kwa mtanzania asiyejua kitu sasa kuliko miaka 6 iliyopita. CCM wanajitahidi kuwa agile wakinyumbuka kila kukicha wakati wenzao wako rigid wakiishi kwa kitegemea tuhuma na tetesi na sio mipango.

Yangu ni hayo tu.
Kumewaumbua baadhi ya wana CCM maana CAG amepata upenyo wa kuwataarifu hadharani... Wateule wake walikuwa hawatajwi hadharani kwa wizi au makosa mengine
 
msisitizo wa madai uko wapi mkuu.

Hasa kwenye loophole hii ambapo kiongozi mpya ameingia na anaonyesha kusikiliza.
Wasikilize vizuri viongozi wa vyama va upinzani pamoja na wanachamawao na mashabiki wa upinzani
 
Back
Top Bottom