Kuondoka kwa kocha wa Simba MO alitudanganya tatizo ni Offer imejulikana

TEAM 666

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2017
Posts
4,399
Reaction score
8,594
Habari wakubwa,

Moja moja twende kwenye fact awali kulikua na sinto fahamu juu ya kuondoka kwa Seven msemo wa "time will tell" umekuja na majibu kamili

Awali imeripotiwa aliondoka kwasababu matatizo ya kifamilia mambo hadharani hakuna kigugumizi Tena kwenye hili Donge Nono alilolipata Morocco kwenye Club ya FAR RABAT ndo limemkimbiza Simba.



Mo aweke Bilion zetu 20 mezani hii aibu ya mwaka hatutaki Tena bla bla bla!!!!
 
Basi hata yeye mwenyewe alidanganya. Kwa mujibu wa caption yake Instagram alisema anataka kuwa karibu na familia yake.

Kwanini Sasa useme mo ndo kadanganya? Je, kama nayeye alidanganywa na kocha mwenyewe.
 
Basi hata yeye mwenyewe alidanganya. Kwa mujibu wa caption yake Instagram alisema anataka kuwa karibu na familia yake.

Kwanini Sasa useme mo ndo kadanganya?? Je kama nayeye alidanganywa na kocha mwenyewe
ndo maana tunasema mwamedi mjanja mjanja sana kwani we hutueliwi

Sasa kwanini hakwenda Belgium?

Siku chache tu ametia Nanga Morroco
 
ndo maana tunasema mwamedi mjanja mjanja sana kwani we hutueliwi

Sasa kwanini hakwenda Belgium?

Siku chache tu ametia Nanga Morroco
Unakua mgumu kuelewa au hutaki kuelewa. Maelezo ya kocha mwenyewe kasema hicho alichosema Mudi. Sasa swala la familia ya mtu mwingine kwanini umlaumu Mudi?

Kwanini hakwenda kwao na yote hayo yeye ndo anajua kama alidanganya ili atengue mkataba au "matatizo ya kifamilia" yameisha
 
Sasa bila kupewa saundi singeanzisha balaa lazima mudanganywe ili mtulie.

Sasa subiri mletewe kocha wa Bei chee ni mwendo wa 5G

Ukienda Congo unakula Hamsa ukienda Misri unakula Hamsa ukienda Sudani Hamsa Hadi akili iwakae sawa
 
Okey tumalize swala moja kwahiyo hamna ujanja janja wa Mudi hapo kama "alipigwa saundi" na akalegea
Mudi pamoja na kocha ndo wamewapiga saundi ujue mudi bahili sana alipoona Morroco wamepanda Dau na yeye Pesa zake anazipenda sana akala njama na kocha ili asionekane kama kashindwa kutoa pesa
 
Sasa bila kupewa saundi singeanzisha balaa lazima mudanganywe ili mtulie.


Sasa subiri mletewe kocha wa Bei chee ni mwendo wa 5G

Ukienda Congo unakula Hamsa ukienda Misri unakula Hamsa ukienda Sudani Hamsa Hadi akili iwakae sawa
5g tuna deal na big boys wa africa..GROUP Z YA CAF CHAMPIONS LEAGUE GROUP ..YANGA UTOPOLO,KILUVYA UTD,SINGIDA UTD,AFC ARUSHA
 
sasa hapo la ajabu nilipi mpaka ukaja hapa kuanzisha uzi kocha kuondoka pia nayo ishu.
 
anakuja wa alh aly aliyetolewa na pitso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…