Kuondolewa kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi ya Watumishi wa Umma (PSSSF)

Kuondolewa kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi ya Watumishi wa Umma (PSSSF)

Bulesi

Platinum Member
Joined
May 14, 2008
Posts
14,275
Reaction score
13,929
Tarehe 6/2/2024 lilitolewa tangazo la mabadiliko katika uongozi wa mashirika kadhaa likiwemo hilo lililotajwa hapo juu.

Hilo shirika hapo nyuma lilikuwa na historia ya kutofanya vizuri katika majukumu yake mpaka pale ndugu HOSEA KASHIMBA alipoteuliwa kuliongoza shirika hilo.

Malalamiko ya malipo ya wanachama yalifanyiwa kazi na gharama za uendeshaji wa shirika zilipungua sana.

Naandika kuhusu bwana Kashimba kwasababu namfahamu kama mtu mmoja nadra sana kumpata hapa nchini; he is very intelligent, knowledgeable, calm and respectful. He is a real patriotic finance professional.

Unless Samia ameshauriwa kumuondoa hapo na kumpa kazi sehemu nyingine challenging , nchi itakuwa imepoteza huduma za mtu makini sana kwenye mambo ya fedha! Kwa watu wasiojua, huyu bwana Hosea Kashimba has played a big role towards the good performance of CRDB as a member of their board of directors and chairman of their Audit committee!

Huyu bwana ni tunu ambayo nchi haina budi kuitumia vizuri.

Nimeamdika hivi kwa kujua kuwa kuna watu wengi wanakuwa victims wa majungu ili watu wao wateuliwe ili waweze kwenda kula ni sio kufanya kazi. I sincerely hope Hosea Kashimba is not going to be wasted.
 
Subiri watakuja wale wachawi wa kupinga kila successful professional wakijiita trained whistleblowers.

Lakini ki muhimu kama unaweza kutupa some numbers za mafanikio yake or else utafanyaje na those wistoblowa With their shoddy comments.

Anyways, I wish both (Hosea and Badru) all the best
 
Kama ni mzalendo sana atakuwa alikuwa kikwazo kwenye ukwapuaji wa mizigo hapo psssf. Na ukizingatia tunaenda kwenye uchaguzi 2025
Umemaliza kila kitu mzee, hii comment imeufunga uzi rasmi😂 na ukizingatia huko mjini kati fedha zipo za kutosha kuwezesha mchakato ujao uende kirahisi lazima apatikane mdau wa kwenda na mdundo.
 
Simfahamu huyo kishimba ila kwa uzoefu wangu kwenye sekta ya kibenki huwezi kumpa credit ya mafanikio ya CRDB mtu ambaye ni board member. Inaonesha haufahamu jinsi utendaji wa benki ulivyo.
Unafahamu kazi na umuhimu wa Audit committee katika utendaji wa benki? Wewe hujui mambo ya benki unajifanya unajua!!
Nenda kaangalie signatories wa taarifa ya mahesabu ya CRDB yaliyotolewa hivi juzi kama hujaona jina la Hosea Kishimba! Jina haliwekwi kwenye hesabu za benki kwa mapambo! The signatories have “ Fiduciary responsibility “ wewe punguani!!
 
Unafahamu kazi na umuhimu wa Audit committee katika utendaji wa benki? Wewe hujui mambo ya benki unajifanya unajua!!
Nenda kaangalie signatories wa taarifa ya mahesabu ya CRDB yaliyotolewa hivi juzi kama hujaona jina la Hosea Kishimba! Jina haliwekwi kwenye hesabu za benki kwa mapambo! The signatories have “ Fiduciary responsibility “ wewe punguani!!
Wewe mshamba unaangalia ripoti ndio unasema amefanya kazi. Unatukana kwasababu hauna hoja. Unaonesha kuongozwa na taarifa za kwenye vijiwe.

An important line of defense kwenye benki ni internal audit department ambayo hata bodi huwa zinatumia kupata taarifa kabla mkaguzi wa nje hajaja (kwenye plc)

Huwezi kutoka huko na kuropoka kwamba mafanikio ya mtu ni kusaini taarifa ya fedha ambayo wote tunajua hajafanya kazi hapo zaidi ya kutegemea kazi ya director wa internal audit.

Wewe hata haujui kazi ya wajumbe wa bodi kwenye mabenki ila unajiropokea tu.
 
Subiri watakuja wale wachawi wa kupinga kila successful professional wakijiita trained whistleblowers.

Lakini ki muhimu kama unaweza kutupa some numbers za mafanikio yake or else utafanyaje na those wistoblowa With their shoddy comments.

Anyways, I wish both (Hosea and Badru) all the best
It’s very unfortunate indeed that nowadays it takes only an individual Zanzibari to complain for a seasoned patriotic professional to lose his/ her job! What a let down for the country.
 
Wewe mshamba unaangalia ripoti ndio unasema amefanya kazi. Unatukana kwasababu hauna hoja. Unaonesha kuongozwa na taarifa za kwenye vijiwe.

An important line of defense kwenye benki ni internal audit department ambayo hata bodi huwa zinatumia kupata taarifa kabla mkaguzi wa nje hajaja (kwenye plc)

Huwezi kutoka huko na kuropoka kwamba mafanikio ya mtu ni kusaini taarifa ya fedha ambayo wote tunajua hajafanya kazi hapo zaidi ya kutegemea kazi ya director wa internal audit.

Wewe hata haujui kazi ya wajumbe wa bodi kwenye mabenki ila unajiropokea tu.
Wewe hata hujui kazi ya Audit committee ya benki kuwa ndio wana oversight function ya internal audit ya benki ! Nadhani wewe bwege ni karanı tu wa benki asiyejua hata core function ya board of directors ya benki. Umeonesha ütüpu wako we mbwiga!
 
PSSSF chini ya Kashimba ilijaa wafanyakazi wezi na matapeli.

Wanatumia taarifa za ofisi kuwatapeli wastaafu.

Ombi kwa Badru ayafanyie kazi malalamiko ya watu,hicho kitengo cha Huduma kwa wateja wanashirikiana na watu wa nje kutapeli wastaafu.
Hao wastafu Hawana akili timamu mpaka watapeliwe?
 
Wewe hata hujui kazi ya Audit committee ya benki kuwa ndio wana oversight function ya internal audit ya benki ! Nadhani wewe bwege ni karanı tu wa benki asiyejua hata core function ya board of directors ya benki. Umeonesha ütüpu wako we mbwiga!
Wewe ni kiazi. Unajiropokea tu. Audit committee haina member kutoka bodi. Committee inakuwa na sponsor ambaye ni chief au executive director. Acha kujiongelea mambo usiyoyajua. Hakuna mjumbe wa bodi anayehusika na kamati tendaji ndani ya CRDB na NMB.
 
Wewe ni kiazi. Unajiropokea tu. Audit committee haina member kutoka bodi. Committee inakuwa na sponsor ambaye ni chief au executive director. Acha kujiongelea mambo usiyoyajua. Hakuna mjumbe wa bodi anayehusika na kamati tendaji ndani ya CRDB na NMB.
You don’t know what you’re writing about! I cannot be your teacher here; you are ignorant of bank administration!
It’s a regulatory requirement that a bank must have a board Audit committee!
 
You are a certified idiot, proclaiming things you know nothing about.
Kama unafanya kazi benki unatakiwa Ufukuzwe mara moja kwa kukosa umakini! Huna uwezo wa kutofautisha kati ya kamati za utendaji na kamati za BODI ya wakutugenzi!
 
It’s very unfortunate indeed that nowadays it takes only an individual Zanzibari to complain for a seasoned patriotic professional to lose his/ her job! What a let down for the country.
Unaamini kila mzanzibari akilalamika maamuzi yanatolewa?
 
Back
Top Bottom