Kuondolewa kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi ya Watumishi wa Umma (PSSSF)

Kuondolewa kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi ya Watumishi wa Umma (PSSSF)

Unabisha ili uzi uendelee. Sasa sikiliza mimi nimekaa kwenye working committees na steering committees za kwenye hizo benki mbili ndio maana nakuona unaongea mambo usiyofahamu.

Hizi kamati ndio zinasimamia miradi mbalimbali halafu ripoti zake zinapelekwa bodi for ratification. Bodi inaweza kuagiza internal audit waje kukagua hizi ripoti na kazi nzima.

Ripoti ya ukaguzi inayoandaliwa na internal audit ikishapata ratification ya bodi ndipo inasainiwa na wenye mamlaka hayo ndani ya bodi.

Sasa mtu anayepokea, kupitisha na kusaini ripoti huwezi kumpa credit ya utendaji bora. Anafanya sehemu yake lakini sio utendaji.

Hizo bodi zipo kisheria ili kuhakikisha kila mtu anapata usimamizi.

Pata elimu uache kuropoka .
Kama nilivyosema hapo awali kama unafanya kazi benki unatakiwa kufukuzwa mara moja na kama ulifanya
zamani hizo benki hazikuwa na ufanisi kwasababu ya your mediocrity!
 
You don’t know what you’re writing about! I cannot be your teacher here; you are ignorant of bank administration!
It’s a regulatory requirement that a bank must have a board Audit committee!
Mkuu samahani naomba kuuliza hiyo comnitee board of audit, inahusika moja kwa moja na kazi za auditing au zinasubiri report ya ya auditing yaa ndani ili inijirizishe kuwa mahesabu yako sawa kabla watu wa nje hawahayakagua?
 
Mkuu samahani naomba kuuliza hiyo comnitee board of audit, inahusika moja kwa moja na kazi za auditing au zinasubiri report ya ya auditing yaa ndani ili inijirizishe kuwa mahesabu yako sawa kabla watu wa nje hawahayakagua?
Ulivyoelezea wewe ndio sahihi kabisa; baada ya board audit committee kuyapitia mahesabu na kuyapeleka kwenye full board for ratification na baada ya hapo Kuyatangaza to the public.
 
Back
Top Bottom