Tetesi: Kuonekana kwa Paka wakubwa mijini. (Big cats sightings in urban areas)

Tetesi: Kuonekana kwa Paka wakubwa mijini. (Big cats sightings in urban areas)

St. Paka Mweusi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2010
Posts
7,956
Reaction score
5,149
Nawasalimu kwa heshima na taadhima wakuu. Alfajiri ya leo mida ya saa kumi na nusu nilitoka ili nifanye mazoezi ya kukimbia kwa nusu saa. Kilichonishangaza ni kuona mgongo wa mnyama mkubwa kuliko mbwa na anamkaribia simba akitembea katika majani marefu. Sikuweza kuona kichwa chake wala mwisho wa mkia wake. Na alikuwa akielekea upande mwingine tofauti na nilipokua naenda mimi. Tukio hilo lilodumu takriban sekunde sita akapotelea kwenye nyasi. Kwa utaalamu wangu wa kuwafahamu wanyama na tabia zao nilishawishika kuamini kuwa yule alikuwa ni simba mtoto au aina nyingine ya paka mkubwa. Bahati mbaya sikuwa na simu ya kuchukua japo picha. Akawa katoweka. Na hili jambo nimelishuhudia leo hapa Dar maeneo ya Goba takriban mita 500 toka stendi ya Goba mwisho njia ya kuelekea Makongo. Sasa swali ninalojiuliza ni je kuna mtu yoyote hapa ambaye alishashuhudia au kusikia tetesi za kuonekana kwa paka wakubwa katika jiji la Dar na viunga vyake?
 
Mi hua naamini ma paka ni uchawi. Hapa home yapo mAkubwa yanatisha
 
Nawasalimu kwa heshima na taadhima wakuu. Alfajiri ya leo mida ya saa kumi na nusu nilitoka ili nifanye mazoezi ya kukimbia kwa nusu saa. Kilichonishangaza ni kuona mgongo wa mnyama mkubwa kuliko mbwa na anamkaribia simba akitembea katika majani marefu. Sikuweza kuona kichwa chake wala mwisho wa mkia wake. Na alikuwa akielekea upande mwingine tofauti na nilipokua naenda mimi. Tukio hilo lilodumu takriban sekunde sita akapotelea kwenye nyasi. Kwa utaalamu wangu wa kuwafahamu wanyama na tabia zao nilishawishika kuamini kuwa yule alikuwa ni simba mtoto au aina nyingine ya paka mkubwa. Bahati mbaya sikuwa na simu ya kuchukua japo picha. Akawa katoweka. Na hili jambo nimelishuhudia leo hapa Dar maeneo ya Goba takriban mita 500 toka stendi ya Goba mwisho njia ya kuelekea Makongo. Sasa swali ninalojiuliza ni je kuna mtu yoyote hapa ambaye alishashuhudia au kusikia tetesi za kuonekana kwa paka wakubwa katika jiji la Dar na viunga vyake?
Huyo ni fisi.mkuu
 
big cats waonekane dar!! haya makubwa jamani....simba, chui, chui milia dar dar watoke wapi?
 
Nawasalimu kwa heshima na taadhima wakuu. Alfajiri ya leo mida ya saa kumi na nusu nilitoka ili nifanye mazoezi ya kukimbia kwa nusu saa. Kilichonishangaza ni kuona mgongo wa mnyama mkubwa kuliko mbwa na anamkaribia simba akitembea katika majani marefu. Sikuweza kuona kichwa chake wala mwisho wa mkia wake. Na alikuwa akielekea upande mwingine tofauti na nilipokua naenda mimi. Tukio hilo lilodumu takriban sekunde sita akapotelea kwenye nyasi. Kwa utaalamu wangu wa kuwafahamu wanyama na tabia zao nilishawishika kuamini kuwa yule alikuwa ni simba mtoto au aina nyingine ya paka mkubwa. Bahati mbaya sikuwa na simu ya kuchukua japo picha. Akawa katoweka. Na hili jambo nimelishuhudia leo hapa Dar maeneo ya Goba takriban mita 500 toka stendi ya Goba mwisho njia ya kuelekea Makongo. Sasa swali ninalojiuliza ni je kuna mtu yoyote hapa ambaye alishashuhudia au kusikia tetesi za kuonekana kwa paka wakubwa katika jiji la Dar na viunga vyake?
Hii habari inaendana na ID yako.

Kwanini ulishindwa kumjua paka mwenzako?

Nakutani Mkuu, ngoja wajuvi wa mambo waje watakujibu.
 
big cats waonekane dar!! haya makubwa jamani....simba, chui, chui milia dar dar watoke wapi?
Sio ajabu chui wanaonekana katika viunga vya majiji makubwa kama Rio de Janeiro lenye wakazi takriban milioni 11 itakua Dar kumbuka eneo lile lina mapori na bado shughuli za ujenzi zinaendelea.
 
Fisi namfahamu mkuu na yule hakuwa Fisi.
Mkuu. Hakuna paka mkubwa kiasi hiko sasa na umesema sio mbwa

By the way alfajiri kuna mambo. Mi siku moja saa 11 kamili niko maeneo ya home nikasikia kuna kitu kinaninyemelea kusogea karibu kimya ikabidi niende ndani .hatukua na mbwa maeneo yale
 
Jana kuna paka (lipaka)
Anakaribiana ukubwa na mbwa,
Alikua anamkimbiza mbwa, walikuwa mbwa wawili,
Nikabaki najiuliza paka huwa wanakimbiza mbwa?!
Na mbwa anamkimbiaje paka!?

Baadae nikaona ni mambo yao binafsi sikutaka kuingilia sana
 
mambo ya wenyewe ukiyafatilia sana utakufa mkuu achana nayo kula maisha
 
Mkuu. Hakuna paka mkubwa kiasi hiko sasa na umesema sio mbwa

By the way alfajiri kuna mambo. Mi siku moja saa 11 kamili niko maeneo ya home nikasikia kuna kitu kinaninyemelea kusogea karibu kimya ikabidi niende ndani .hatukua na mbwa maeneo yale
Wanaume wa Dar bwana! [emoji23][emoji23] Sasa kilikuwa ni kitu gani?
 
Kwa kawaida ya wanyama ni mara chache sana wanaweza kuwepo maeneo ambayo yana muinguliano wa shughuli za kibinadamu. Hao unaowasema Big Cats huwa hawapendi bugudha na muinguliano na binadamu kabisaaa.
Hicho ulichokiona inawezekana ikawa ni simba mtu alikuwa katika mishe mishe zake za usiku.
Mshanajr Anaweza kutusaidia katika ufafanuzi wa hili suala.
 
Back
Top Bottom