Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenipa mwanga mkuu.kuna ule msitu wa jeshi pale umepita kwenye ule mto tulikuwa tunaendaga kuchota mchanga mtoni kuna wanyama wengi tu tulikiwa tunakuta nyayo,,,,,na kuna majoka makubwa
Mtu anayeenda jogging anaweza kuwa bado yupo ndotoni?Mkuu ulikua unaota..
binafsi uwa nauchukia sana ule msitu maana umekaa vibaya sana na unafuga wanyama wengiUmenipa mwanga mkuu.
Kweli mkuu Ubungo hapa.Fisi huyu hapa alionekana Ubungo mwaka jana[emoji116]
HahahahMkuu unatupa majaribu na comment zako[emoji1]
big cats waonekane dar!! haya makubwa jamani....simba, chui, chui milia dar dar watoke wapi?
hahaaaUzi bila picha haunogi ni sawa na kupiga pull bila kufika kitongaa masaa 2 unahangaika tu
Ile itakuwaje ni pushi kwakua they don't "pull" they kinda "push" the haragweHivi na nyie mnaiita puli ile yenu!?
Nadhani hata huelewi ulichochangia.Mmmh wanaume wa dar buana[emoji41]
Kama ujaelewa basi ,ingekuwa kwetu rorya ,ingekuwa stori ingine teeeh kidingNadhani hata huelewi ulichochangia.
Kama umeniambia mimi basi ntakueleza kuwa nina uelewa mkubwa sana wa wanyama wa porini na nimetembelea karibu mbuga zote za wanyama hapa Tanzania. Interest yangu ipo kwenye wildlife hivyo ninaelewa ninachokiandika. Usiniweke kwenye kundi la wale waliozaliwa Dar na hata Kibaha hawayajui.Muemnajenga utamaduniba kutembekea mbuga za Santana nuwajue
Mkuu, nilimtambua kuwa ni paka mkubwa. Mada yangu ina vitu viwili. Moja ni kuuliza kama kuna member wenzangu waliokutana na hali hiyo. Na pili ni kutoa tahadhari kwa wakazi wa maeneo tajwa juu ya kuonekana kiumbe hicho. Na wala sikuja kuulizä yule alikua mnyama gani.ID yako mwenyewe "Paka mwesi", iweje usimtambue mwenzako?