Salathiel m.
Senior Member
- Mar 12, 2011
- 185
- 41
yule jamaa aliyekuwa naibu waziri wa tanesco sijui malima ndiyo zake,utakuta yupo kijijini kwa watanzania wasiojua lolote kuhusu kingereza lakini utasikia akimwaga kiinglishi huku akinyanyua mavidole yake yaliyojaa mipete mikubwa mikubwa,,ovyo kabisa mkuu
Kuna watu wanatabia ya kuongea kizungu au wanachanganya changanya kiswahil na kizungu ili tu waonekane wajanja au wasomi au tu kupenda sifa. anaona ataonekana mshamba akiongea kiswahili moja kwa 1,kumbe ni ujinga mtupu wenzetu wachina wakienda nchi yoyote hua wanaongea lugha yao nyie mnawaona kama awajasoma,kujua kizungu sio usomi kuna nchi watu wake wanatumia kiingereza bado utakuta wanakabiliwa na tatizo la watu kutojua kusoma na kuandika. HUO NI UTUMWA KUSHOBOKEA LUGHA YA WATU,JE ELIMU YAKO IMEKUKOMBOA AU NDO IMEKUFANYA UWE MJINGA?
Nawakilisha.
Ujumbe Mzuri sana,UNAWAKILISHA WAPI?
Preta,you are a tall water nadhani una utani na kina Ruttashobya,Kina Rutashoboilwa,Rweyemamu na kina Rweyumbizayou King Kong III...you are very hard......in village inglish is good......people will sun kila kitu....infwakti.....nani anajali.....
Kuna watu wanatabia ya kuongea kizungu au wanachanganya changanya kiswahil na kizungu ili tu waonekane wajanja au wasomi au tu kupenda sifa. anaona ataonekana mshamba akiongea kiswahili moja kwa 1,kumbe ni ujinga mtupu wenzetu wachina wakienda nchi yoyote hua wanaongea lugha yao nyie mnawaona kama awajasoma,kujua kizungu sio usomi kuna nchi watu wake wanatumia kiingereza bado utakuta wanakabiliwa na tatizo la watu kutojua kusoma na kuandika. HUO NI UTUMWA KUSHOBOKEA LUGHA YA WATU,JE ELIMU YAKO IMEKUKOMBOA AU NDO IMEKUFANYA UWE MJINGA?
Nawakilisha.
Ila kuongea kiarabu ndio ujanja? salamalekum, bismillah, alhamndulilahi, kwani haya maneno hayana mbadala wake kwa kiswahili?
Niujinga tu,wanasumbua na vizungu vyao vya inglishi kozi, ndo maana kwene nafasi za kugombea ubunge wa afrika mash walijinyeanyea sana walipokua wanajinadi kwa kiinglishi lakin uwakute nje wanajifanya kuchanganya changanya
Sasa wewe unawasema watu wengine wakati huo huo unafanya kosa lile lile! Ni kweli hampendi watu wachanganye kiingereza na kiswahili au ni wivu wenu tu wa kotojua kiingereza!
Kuna watu wanatabia ya kuongea kizungu au wanachanganya changanya kiswahil na kizungu ili tu waonekane wajanja au wasomi au tu kupenda sifa. anaona ataonekana mshamba akiongea kiswahili moja kwa 1,kumbe ni ujinga mtupu wenzetu wachina wakienda nchi yoyote hua wanaongea lugha yao nyie mnawaona kama awajasoma,kujua kizungu sio usomi kuna nchi watu wake wanatumia kiingereza bado utakuta wanakabiliwa na tatizo la watu kutojua kusoma na kuandika. HUO NI UTUMWA KUSHOBOKEA LUGHA YA WATU,JE ELIMU YAKO IMEKUKOMBOA AU NDO IMEKUFANYA UWE MJINGA?
Nawakilisha.
Hata kiswahili kinakushinda neno ayo ndiyo nini? sasa kama lugha yetu ya kiswahili inatushinda lugha za wenzetu tutaziwezaje????kuweka ayo maneno ambayo we unaona nimechanganya lugha ni kuweka msisitizo ili nyie mnaojifanya mnajua kizungu muelewe,ivi kwa kichwa chako kilivo na akili fupi ka maisha ya funza unaamini kua kuna mtu anaona wivu wa wewe kujua kizungu,kizungu chenyewe unachodai unajua cha ugoko kimejaa ukakasi!
samahani kama nimekuudhi.
Kuna kitu kama chuki hapa!!mchanganyiko na wivu+hasira, mbonsafo mwoli.kuweka ayo maneno ambayo we unaona nimechanganya lugha ni kuweka msisitizo ili nyie mnaojifanya mnajua kizungu muelewe,ivi kwa kichwa chako kilivo na akili fupi ka maisha ya funza unaamini kua kuna mtu anaona wivu wa wewe kujua kizungu,kizungu chenyewe unachodai unajua cha ugoko kimejaa ukakasi!
samahani kama nimekuudhi.