Kuongea na simu na mtu usiyempenda yataka moyo!

ahhahhaha pakua true caller unamblock tu hatumi SMS wala hawezi kupiga block majinga yote
Ninayooo sema nilikuwa sjaipekua vizurii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
hakuna kitu kinakera kama mwanaume anakuambia anakupenda halaf wala halikutumii pesa my friend unajisumbua tu mwanaume unatakiwa ushawishi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ngoja waje na mapovu yaoooo
 
Hizo namba zenu hua mnaziandika kwenye vipeperushi au mabango gani hadi mnapigiwa na watu msio wapenda? Au mnawapa namba wenyewe?
Huwez jua kama baadae atakukeraaa
 
Ndo maana nakwambia tuliza mshono mm nina mabomu makali sana tena sanaaa
Nisamehe bure usije ukafukua makaburi najua kuna mengi alikwambia kuhusu mimi, jinsi nilivyo kazi yangu na hata mazingira nnayofanyia.
 
Hahaaa. Wasamehe nao wanajaribu bahati yao.

Nadhani tupo tusiokukera
 
Nisamehe bure usije ukafukua makaburi najua kuna mengi alikwambia kuhusu mimi, jinsi nilivyo kazi yangu na hata mazingira nnayofanyia.
Huo sasa ni umbeaaa wewe ni shemeji yangu tu hakuna lolote nakupenda tu usiogopeeeee [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mambo yako ni motooooo
 
Tulia usipate shida bi shost, ngoja nikupe mbinu mpya. Siku nyingine akikupigia kama uko nyumbani pandisha sauti ya TV au radio to the maximum ili msisikilizane kisha pokea simu. Akipiga tena repeat the same procedure hadi akome. Kusema kweli wadada ving'ang'anizi wanakera sana. Mimi huwa natumia techniques hizi kuwakomesha akina dada wasumbufu maana nanyi huwa mnasumbua sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…