Kuongea na simu na mtu usiyempenda yataka moyo!

[emoji3][emoji3][emoji3]mwenzio nipo Mirembe leo nachekaje rafiki
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kunani tena Rafiki umekutana na yule jamaa anaecheka muda wote au yule anae Rap kila saa nini ?
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kunani tena Rafiki umekutana na yule jamaa anaecheka muda wote au yule anae Rap kila saa nini ?
Huyo mweupe anajua kuimbaaa balaaaa ndo anayerap
Kuna mwingine anasali tu
Mwingine analia mwingine ananiomba 500 mpaka nitoke huku mbavu naacha mirembe
 
Huyo mweupe anajua kuimbaaa balaaaa ndo anayerap
Kuna mwingine anasali tu
Mwingine analia mwingine ananiomba 500 mpaka nitoke huku mbavu naacha mirembe
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Nakufwaz in Le_Kibamiaz voice aahaah noma sana kaa vizuri kuna mwingine hapo kazi yake ni kung fu tangu mornie mpaka night.
 
Usiombe kupigiwa simu na muha pure from kigoma,akupende umkatae hehehee!!
Kila siku atajiunga cheka zogo ya 5000 kwa ajili ya kukupigisha story ya ziwa Tanganyika na jinsi hali ya hewa ilivyo kasulu
Hahahaa ngoja niwatag best zangu waha wa muzye na kagongo.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Nakufwaz in Le_Kibamiaz voice aahaah noma sana kaa vizuri kuna mwingine hapo kazi yake ni kung fu tangu mornie mpaka night.
Tupangeee siku tuende kuwatembeleaaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ndo maana nakuaga busy tu muda wote. Sitaki kuongea wala kuchatishana. Watu usowapenda wanakuaga ving'ang'anizi hao na kujipa nafasi wasokua nazo
Na wewe unakuwaga king'ang'anizi kwa watu ambapo hawakukubali
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Demis unanifurahishaga sana kwamba unapokea simu umekunja sura
 
Ila kuna mdada akinipigiaga huwa nakereka sana make sikapendi nimejaribu kublock namba yake lkn bado kanatumia zingine tena. Demis umeongea point kama mtu humpendi anakera sana....

Taarifa zikufikie wewe Dada kama uko humu jf usiendelee kunisumbua,tena unikome kabisa
 
hakuna kitu kinakera kama mwanaume anakuambia anakupenda halaf wala halikutumii pesa my friend unajisumbua tu mwanaume unatakiwa ushawishi
MWANAMKE HUTAKIWI KUTUMIWA PESA , UNATAKIWA UIFATE, UFIKE KWAKE UFUEFUE KIDOGO UPIGE DEKI, UNYOSHE NGUO ZA IKI NZIMA, UPIGWE DYUDYU THEN MWANAUME ANAKUPA HELA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…