Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
HahahahaKuweka simu kwenye kwapaaaa
Madai yako unamnukisha harufu ya kwapa kumbe unajidanganya .Kurogwa sio tatizo tatizo ni ule Upofu wa Moyo.
Hahaha hizi siku mbili tatu huyu mwanamke kachangamka sana,,anafunguka hatariiYani mkeo kasema ile ya kuzungushaa mkono kama unarusha jiwe loooh[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mwenzio nipo Mirembe leo nachekaje rafiki
Huyo mweupe anajua kuimbaaa balaaaa ndo anayerap[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kunani tena Rafiki umekutana na yule jamaa anaecheka muda wote au yule anae Rap kila saa nini ?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Huyo mweupe anajua kuimbaaa balaaaa ndo anayerap
Kuna mwingine anasali tu
Mwingine analia mwingine ananiomba 500 mpaka nitoke huku mbavu naacha mirembe
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Na bila kusahau ushuzi
Hahahaa ngoja niwatag best zangu waha wa muzye na kagongo.Usiombe kupigiwa simu na muha pure from kigoma,akupende umkatae hehehee!!
Kila siku atajiunga cheka zogo ya 5000 kwa ajili ya kukupigisha story ya ziwa Tanganyika na jinsi hali ya hewa ilivyo kasulu
Tupangeee siku tuende kuwatembeleaaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Nakufwaz in Le_Kibamiaz voice aahaah noma sana kaa vizuri kuna mwingine hapo kazi yake ni kung fu tangu mornie mpaka night.
Na wewe unakuwaga king'ang'anizi kwa watu ambapo hawakukubaliNdo maana nakuaga busy tu muda wote. Sitaki kuongea wala kuchatishana. Watu usowapenda wanakuaga ving'ang'anizi hao na kujipa nafasi wasokua nazo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Demis unanifurahishaga sana kwamba unapokea simu umekunja suraYani huwa nakereka kuongea na simu na mtu nisiyempenda unajua kwa sababu nimeshamweleza kila kitu lakini bado anazidi kuganda kama ruba huyu lazima nimfanyie unyamaaa unyamani tu.
Unakuta mwanaume amekutongoza umemkataaa anaendelea kukusumbua hawa ndo wanakera zaidi na story zao za porojo blah blah kibao huwa napata moto mimi Demiss hasira mpaka kwenye koo.
Yani watu kama hawa simu 24 hours sms kibao whastap alafu wanapenda video call yani huwa napata motooo mimi nachukia.
Yani nikiona tu simu inaitaaa haki nitasonyaaaaa sonyooo la haja alafu nabonyeza kidude cha kupunguzia sauti ili nisisikie kelele za kuita simu.
Nikiona unapiga sana napokea simu huku nimekunja mdomoo karibia unafika sikioni [emoji10] [emoji10] [emoji10] sipendi kero hasa mtu nisiyempenda.
Nikipokea simu yako lazima niweke kwenye kwapa ili uongeee naloo sipendag kerooo kabisaa au najifanya halllo halllo kama sisikii au network inasumbua.
Nikikata simu nakusindikiza na neno la hajaaaaaa.
Jamani kuna wanaume wanasumbua kwenye simu mpaka unataman kumpa makondeee yani haelewi huwa wananipa moto mimi.
Mrs Jr.
Kweli kabisa ni moja ya kiwanda cha utalii wa Ndani lini mamy panga ratiba tu.Tupangeee siku tuende kuwatembeleaaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
MWANAMKE HUTAKIWI KUTUMIWA PESA , UNATAKIWA UIFATE, UFIKE KWAKE UFUEFUE KIDOGO UPIGE DEKI, UNYOSHE NGUO ZA IKI NZIMA, UPIGWE DYUDYU THEN MWANAUME ANAKUPA HELAhakuna kitu kinakera kama mwanaume anakuambia anakupenda halaf wala halikutumii pesa my friend unajisumbua tu mwanaume unatakiwa ushawishi