Kuongea na simu na mtu usiyempenda yataka moyo!

Usiombe kupigiwa simu na muha pure from kigoma,akupende umkatae hehehee!!
Kila siku atajiunga cheka zogo ya 5000 kwa ajili ya kukupigisha story ya ziwa Tanganyika na jinsi hali ya hewa ilivyo kasulu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmecheka kifala dah!
 
Ukiwa nao wa5 wanaweza kukuharibia mood ya siku
Ndo raha ya mwanamke kutogozwa hata kama umeolewa unaonaje pale inapita wiki au mwezi hukatongozwa si unatafuta sangoma akuibie hera eti unaoshwa na maji ya bahar kumbe uongo kwa hiyo ni bora usumbuliwe tyu.
 
Sio lazima upokee unakausha tu
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Demis unanifurahishaga sana kwamba unapokea simu umekunja sura
Ndio shemeji yanguuu
 
Watu kama hao huwa hawakat tamaaa kabisaaa
 
Ndo raha ya mwanamke kutogozwa hata kama umeolewa unaonaje pale inapita wiki au mwezi hukatongozwa si unatafuta sangoma akuibie hera eti unaoshwa na maji ya bahar kumbe uongo kwa hiyo ni bora usumbuliwe tyu.
Mwanamke usipotongozwaa una gundu au mkosi
 
Yani humchukii kwa chuki ila hupendi kuongea nae tu,labda anapiga sana story xa timu usioipenda,anakudai,anapiga story za wachawi au vyovyote vile
Hiv kwel mtu unaemoenda umtongez akukatalie mara 1 tayar uipotezee Hapana anaweza kuwa amekataa ila ukirudia rudia anakuona kama uko serous na unampenda kweli wengine hukataa ili kuona kama unampenda kweli utaendelea kutafuta.
 
Hiv kwel mtu unaemoenda umtongez akukatalie mara 1 tayar uipotezee Hapana anaweza kuwa amekataa ila ukirudia rudia anakuona kama uko serous na unampenda kweli wengine hukataa ili kuona kama unampenda kweli utaendelea kutafuta.
Ukiambiwa hupendwi zaid ya mara 3 unaacha tu mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…