Kuongea na simu na mtu usiyempenda yataka moyo!

Sio vizuri,tatizo ni kwamba mtu huyu anakuwa ameshaambiwa hapendwi lakini anakazana kweli kweli,na huwezi ichunia simu huku waiona mkuu
Yani ndo tatizo unamwambia mm mke wa mtu anaendelea kukupigia na shida inakuwa palee humpendi ndo maaana unapata hasiraa sana
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mimi huwa nawasha redio naweka sehemu ambayo haishiki vizur ili asikie makelel au naanza kukwaruza vyombo mbengele mbengeleee sipendi kero
[emoji23] [emoji23] umewahi kupokea simu ukaifunikizia kwenye masweta mawili afu ukawa unaongea kwa sauti kwamba "sikusiiiiiikiiiiiiiiiii" unakata afu unatuma msg,"simu mbovu haisikiki"
 
Yani humchukii kwa chuki ila hupendi kuongea nae tu,labda anapiga sana story xa timu usioipenda,anakudai,anapiga story za wachawi au vyovyote vile
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sometimes watu wanaweza kuona kama unaringa au unadharau,mtu mwingine anakupigia simu then anachoongea sasa,hakuna cha maana,Sometimes naonaga bora kutopokea tu
Na usipopokea anazid kupiga kama ugomvi mfano mtu amekuomba hela ukamwambia nitakutumia saa 5 mweeeeeh utakoma na hizo simu
 
[emoji23] [emoji23] umewahi kupokea simu ukaifunikizia kwenye masweta mawili afu ukawa unaongea kwa sauti kwamba "sikusiiiiiikiiiiiiiiiii" unakata afu unatuma msg,"simu mbovu haisikiki"
Style ya kitoto Sana hii, vp unampango wa Kuzaa kwanza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…