roservelt
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 1,418
- 1,514
Kwa sisi wanaume ...huwa tunafanya tofauti...mi binafsi kama kuna manzi amenizimikia na ameonesha dalili zote za kunipenda...huwa si mzingui...huwa namtengenezea mazingira ya Ku mcare asijisikie vibaya...at the end anakuwa tuu rafiki wa kawaida na maisha yanaenda.