Kuongea na simu na mtu usiyempenda yataka moyo!

Kwa sisi wanaume ...huwa tunafanya tofauti...mi binafsi kama kuna manzi amenizimikia na ameonesha dalili zote za kunipenda...huwa si mzingui...huwa namtengenezea mazingira ya Ku mcare asijisikie vibaya...at the end anakuwa tuu rafiki wa kawaida na maisha yanaenda.
 
Kabla ya kukuharibia siku, uwe unawaomba hela tu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hawatumi wana jaza njaaa mbeleee alafu anaendelea kukupigisha story mm huwa nakata simj tu sipendi blah blah blah yawezekana nina jeurii tu
 
Na usipopokea anazid kupiga kama ugomvi mfano mtu amekuomba hela ukamwambia nitakutumia saa 5 mweeeeeh utakoma na hizo simu
Kusema kweli mimi wengi wanaona ninadharau,huwa sipokei simu ambazo najua fika ni usumbufu tu.

Na nadhani mnajijua kuna some girls ukiona simu zao tu,jua mzinga[emoji2]
 
Anakwambia "mimi nakupenda lolo,moyo wangu umekudondokea(hapa kwenye kudondokea unakandamiza[emoji23])
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]siku hizi wasukuma wanatumia halotel mama utakoma anaongea huyoo mpaka unataman kumzaba vibaooo
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hawatumi wana jaza njaaa mbeleee alafu anaendelea kukupigisha story mm huwa nakata simj tu sipendi blah blah blah yawezekana nina jeurii tu
Tatizo nyie wadada wa Dar, mnatudharau sana sie wanaume wa mikoani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…