Kuongea na simu na mtu usiyempenda yataka moyo!

Kuongea na simu na mtu usiyempenda yataka moyo!

Yani huwa nakereka kuongea na simu na mtu nisiyempenda unajua kwa sababu nimeshamweleza kila kitu lakini bado anazidi kuganda kama ruba huyu lazima nimfanyie unyamaaa unyamani tu.

Unakuta mwanaume amekutongoza umemkataaa anaendelea kukusumbua hawa ndo wanakera zaidi na story zao za porojo blah blah kibao huwa napata moto mimi Demiss hasira mpaka kwenye koo.

Yani watu kama hawa simu 24 hours sms kibao whastap alafu wanapenda video call yani huwa napata motooo mimi nachukia.

Yani nikiona tu simu inaitaaa haki nitasonyaaaaa sonyooo la haja alafu nabonyeza kidude cha kupunguzia sauti ili nisisikie kelele za kuita simu.

Nikiona unapiga sana napokea simu huku nimekunja mdomoo karibia unafika sikioni [emoji10] [emoji10] [emoji10] sipendi kero hasa mtu nisiyempenda.

Nikipokea simu yako lazima niweke kwenye kwapa ili uongeee naloo sipendag kerooo kabisaa au najifanya halllo halllo kama sisikii au network inasumbua.
Nikikata simu nakusindikiza na neno la hajaaaaaa.

Jamani kuna wanaume wanasumbua kwenye simu mpaka unataman kumpa makondeee yani haelewi huwa wananipa moto mimi.


Mrs Jr.
Nimekataliwa pia ngoja niache kusumbua
 
Hivi mwanaume umekamilika inakuwaje unalazimisha kuongea na mwanamke ambae anaonesha wazi hana interest ya kuongea na wewe? Mimi nakupigia simu mara moja hujapokea, napiga mara ya pili hujapokea hutasikia tena simu yangu. Tena kurahisisha huwa nafuta namba yako.
 
Yani huwa nakereka kuongea na simu na mtu nisiyempenda unajua kwa sababu nimeshamweleza kila kitu lakini bado anazidi kuganda kama ruba huyu lazima nimfanyie unyamaaa unyamani tu.

Unakuta mwanaume amekutongoza umemkataaa anaendelea kukusumbua hawa ndo wanakera zaidi na story zao za porojo blah blah kibao huwa napata moto mimi Demiss hasira mpaka kwenye koo.

Yani watu kama hawa simu 24 hours sms kibao whastap alafu wanapenda video call yani huwa napata motooo mimi nachukia.

Yani nikiona tu simu inaitaaa haki nitasonyaaaaa sonyooo la haja alafu nabonyeza kidude cha kupunguzia sauti ili nisisikie kelele za kuita simu.

Nikiona unapiga sana napokea simu huku nimekunja mdomoo karibia unafika sikioni [emoji10] [emoji10] [emoji10] sipendi kero hasa mtu nisiyempenda.

Nikipokea simu yako lazima niweke kwenye kwapa ili uongeee naloo sipendag kerooo kabisaa au najifanya halllo halllo kama sisikii au network inasumbua.
Nikikata simu nakusindikiza na neno la hajaaaaaa.

Jamani kuna wanaume wanasumbua kwenye simu mpaka unataman kumpa makondeee yani haelewi huwa wananipa moto mimi.


Mrs Jr.
Mimi nataka unijuze kupanda ni nini?

Post nyingi sana nimeziona, hakuna hata aliyeonyesha nini kupenda.
Let me explain the meaning of love
Love is pain
Love is a commitment
Love is a self sacrifice.
Ukiwa na ujumlisho wa hivyo vyote kwa jumla unapata neno kupenda.
Nakupa maana yake.

SACRIFICE :Kuamua kuwa na mtu usiyemjua chanzo chake.
COMMITTED :HE Or She, being ready for sacrifice of their bodies.
PAIN : for women during care of pregnancy and birth.
How those 3 tings contribute to the word kupenda is as follows.
Mtoto atakayetokana from those above three subject s is where we can have a meaningful of kupenda.
Mtoto anaweza vunja tv, badala ya kuchukia unacheka, then unakwenda nunua nyingine. Hiyo ndio maana ya kupenda .
Unamlisha chakula, anakipuliza chote kwenye uso wako huchukii, unacheka na bado unaendelea kumpa chakula kingine, hiyo ndio love.

Sasa huyo unayesema unampenda. Jiulize. Hakuchukizi?
Kama sometimes anakuchukiza jua hakuna kupenda btn.
Hata hy unayemchukia there's no bond ya kupenda hadi useme humependi.
Mimi ni mume
Ninachokipenda ni watoto.
The union btn me and my wife is to find love, and there is no meaning kuwa tulipendana,
Tulikubaliana that all.

Nauliza wana jamvi kati ya mume, mke na mtoto. Yupi ambaye anagusa moyo wako 4 any action?

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Hahaaa. Wasamehe nao wanajaribu bahati yao.

Nadhani tupo tusiokukera
Kama wewe huwa naenjoy sana na mawazo yako ya kibiashara safi sana nataman unipigie kila siku
 
Tulia usipate shida bi shost, ngoja nikupe mbinu mpya. Siku nyingine akikupigia kama uko nyumbani pandisha sauti ya TV au radio to the maximum ili msisikilizane kisha pokea simu. Akipiga tena repeat the same procedure hadi akome. Kusema kweli wadada ving'ang'anizi wanakera sana. Mimi huwa natumia techniques hizi kuwakomesha akina dada wasumbufu maana nanyi huwa mnasumbua sana.
Asante sana hebu kunywa sodaa kwanza
 
Hivi mwanaume umekamilika inakuwaje unalazimisha kuongea na mwanamke ambae anaonesha wazi hana interest ya kuongea na wewe? Mimi nakupigia simu mara moja hujapokea, napiga mara ya pili hujapokea hutasikia tena simu yangu. Tena kurahisisha huwa nafuta namba yako.
Bora wewe kuna wanaume naweza kusema wanafaaa kuwa wodi ya mirembeeee wanasumbua kama vichaaaa
 
Back
Top Bottom