Mimi nataka unijuze kupanda ni nini?
Post nyingi sana nimeziona, hakuna hata aliyeonyesha nini kupenda.
Let me explain the meaning of love
Love is pain
Love is a commitment
Love is a self sacrifice.
Ukiwa na ujumlisho wa hivyo vyote kwa jumla unapata neno kupenda.
Nakupa maana yake.
SACRIFICE :Kuamua kuwa na mtu usiyemjua chanzo chake.
COMMITTED :HE Or She, being ready for sacrifice of their bodies.
PAIN : for women during care of pregnancy and birth.
How those 3 tings contribute to the word kupenda is as follows.
Mtoto atakayetokana from those above three subject s is where we can have a meaningful of kupenda.
Mtoto anaweza vunja tv, badala ya kuchukia unacheka, then unakwenda nunua nyingine. Hiyo ndio maana ya kupenda .
Unamlisha chakula, anakipuliza chote kwenye uso wako huchukii, unacheka na bado unaendelea kumpa chakula kingine, hiyo ndio love.
Sasa huyo unayesema unampenda. Jiulize. Hakuchukizi?
Kama sometimes anakuchukiza jua hakuna kupenda btn.
Hata hy unayemchukia there's no bond ya kupenda hadi useme humependi.
Mimi ni mume
Ninachokipenda ni watoto.
The union btn me and my wife is to find love, and there is no meaning kuwa tulipendana,
Tulikubaliana that all.
Nauliza wana jamvi kati ya mume, mke na mtoto. Yupi ambaye anagusa moyo wako 4 any action?
Sent from my SM-T285 using
JamiiForums mobile app