Kuongea na simu na mtu usiyempenda yataka moyo!

Kuongea na simu na mtu usiyempenda yataka moyo!

Huwa nawatukana balaaaaaa mwenzio
Mi nachukia kabisa,lingine unaliuliza we nani linabako kucheka cheka na kukwambia otea,mxiieuw niotee nimekua bibi njozi,nachukiaga sana.
Ndo mana hata nikipigiwa na namba ngen hasira zinajaa kabla sijapokea hehehe
 
[emoji23] [emoji23] yani nilijua yuko kwenye mada kumbe sijui katoka nje ya mada sijui ni mi ndo sijamuelewa [emoji23][emoji23]em aje
Hata mimi shooo nimejikazaaa sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mi nachukia kabisa,lingine unaliuliza we nani linabako kucheka cheka na kukwambia otea,mxiieuw niotee nimekua bibi njozi,nachukiaga sana.
Ndo mana hata nikipigiwa na namba ngen hasira zinajaa kabla sijapokea hehehe
Hwehhehheheheheheheheeh wewe umenizidi mpaka mimi utazani mapachaaaaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]vituko vyako vyangu
 
Back
Top Bottom