Hahahahahah....sasa hawa sijui story zao wanatoa wap?Babu yangu alikua anapiga mtungi tangu hajawazaa watoto wake na hadi anafariki alikua bado anapiga, yaan alikua anatengeneza wine mwenyewe na alikua na nguvu hadi uzeeni
Vyakula vya kizungu tunavyolishwa vinatuletea matatizo ya kizungu,Hahahahahah....sasa hawa sijui story zao wanatoa wap?
Kuchungulia nyuzi mbalimbali kunasaidia sana, ona nimejua misamiati ya semen na sperm, na ya shahawa na mbegu, siyo mimi peke yangu niliyekuwa siyajui haya maneno, wako wengi tu.Semen ndo shahawa sasa zinazobeba mbegu ndani yke. Sasa uzito, wepesi wa semen ndo zitadetermine speed na maturity or imaturty ya mbegu ktk kutungisha mimba
Pamoja sana mkuuKuchungulia nyuzi mbalimbali kunasaidia sana, ona nimejua misamiati ya semen na sperm, na ya shahawa na mbegu, siyo mimi peke yangu niliyekuwa siyajui haya maneno, wako wengi tu.
Kumbe mbegu iko ndani ya shahawa!, kwa maana hiyo shahawa ni kubwa halafu mbegu ni ndogo.
Nimegoogle nimekuta ili sperm speed/motility iwe na nguvu, zinatakiwa ziwe 40% na kuendelea, yaani ziwe 20 million na kuendelea. Na ili sperm iwe na uwezo wa kumpa mimba mwanamke, zinatakiwa ziwe 2-5 million per litre na kuendelea.
Thank you GOD,
Thank you JF,
Thank you JF members,
Thank you Google.